YouTube - NEW YORK,NEW YORK- FRANK SINATRA
Natamani siku moja nifike huko.
Natamani siku moja nifike huko.
YouTube - NEW YORK,NEW YORK- FRANK SINATRA
Natamani siku moja nifike huko.
Hiyo Camara ingeelekezwa kwenye baadhi ya mitaa na vichochoro labda ungebadilisha mawazo yako.:director:
Unataka ukafanye nini huko? Kutalii? Kusoma? Kufanya kazi? Au kikazi? Akon alisema kwenye moja ya ma-concert yake kuwa ili upate heshima na umaarufu kwenye hayo majengo ni kufanya kazi kwa bidii na moyo mmoja na kuwa na FWEDHA za kumwaga!!!
Ila angalia usijerudi na tabia ya kubwia miunga!!!!! Pia hiyo video inaonesha power of marketing innovation ya wenzetu! Hivi na sisi kwa nini tusitupie picha za vivutio vyetu kwenye hiyo mi-web 2.0 applications kama youtube na facebook?
kutembea sio mbaya,haijalishi pazuri wala pabaya ni sehemu ya kujifunza maisha na wenzetu wamewezaje na wanaishiji na serikali yao inawachukulia vp wananchi wake,ila ni vizuri sana kutembea sehemu ambazo unakuta ktk nchi zetu ni adimu kuviona eg barabara juu na chiniHiyo Camara ingeelekezwa kwenye baadhi ya mitaa na vichochoro labda ungebadilisha mawazo yako.:director:
Kutalii tu mkuu then narudi home.
Si unajua zile mambo za kuona kama hujafika Dar basi we sio mjanja?
Sasa na mimi nona kama hujafika NYK basi najiona kuna kitu naki-miss.
I rea love to be there one day. Just being there even for a minute.
I love Big Apple.:fencing:
YouTube - NEW YORK,NEW YORK- FRANK SINATRA
Natamani siku moja nifike huko.
Lahasha Tiger, hakuna utani hapo......na wala simaanishi kwamba Dar na Big Apple zipo sawa. nilichomaanisha ni kwamba Cameraman alikuwa anachukuwa zile sehemu zenye mvuto kwa ajili ya kuvutia watalii na Investors. Angeonyesha baadhi ya sehemu za South Bronx, Manhattan (Harlem) na Brooklyn labda huu mjadala ungekuwa mzuri zaidi.Kwa nini kaka, unataka kuniambia Dar na Big Apple(kama alivyopaita Blules hapo juu ni sawa?)
Lazima utakawa unatania.:horn:
Watu wanatamani kwenda New York kuliko mbinguni. Mbinguni ni kuzuri zaidi
Watu kama kina Kiranga ukiwaambia hivyo watakuelewa?
mbiguni kuna nini tena!!! ahhhh :yawn:Watu wanatamani kwenda New York kuliko mbinguni. Mbinguni ni kuzuri zaidi
new york? I love new york!!! I love shopping and dining in ny