Chris Brown na Tory Lanez unawajua ?Beat wamecopy /bongo vilaza
Sasa kwan halijacopiwa. Mbna mnabisha ujinga bhna. Iyo c beat ya wimbo wa omarion Distance!.
Kwhyo nani kasema ni makosa? JKama mwenyewe Omario yumo humo ndani na hajasema chochote wewe kapuku ni nani mpk uanze ku complain? Shwain.
Afadhali ulikuwepo mkuu [HASHTAG]#toa[/HASHTAG] uteam nanii leta mziki mzurKama mwenyewe Omario yumo humo ndani na hajasema chochote wewe kapuku ni nani mpk uanze ku complain? Shwain.
umeona mkuu..watatoka povu tu utaonaBeat wamecopy /bongo vilaza
Hivi huyu mwingine ni Masogangee au macho yangu?Uchi tumechoka kwn angevaa nguo hy mdada hy biti isingenoga
Asante daimond kwa nyimbo hii kali sana..acha waendelee kubana mapimbi wale.
but hii age restricted iondoeni kwenye youtube siyo nzuri.
naona hii beat kijana Laizer hajausika hapa tafadhali sana Dada shonza kufungia miziki ya nyumbani alafu za kina beyonce mnaachia siyo acha vijana wapate mkate wao.
sureHuu mziki mkubwa sana kwa Tanzania,sio level zetu