Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Wakudadavuwa na tabia zake za kisagaji atamtamani uyo mrembo kwenye video alafu ataipiga kufuli kama kawaida yake lakini atakuwa anaitazama video kwa siri akiwa chumbani peke yake.
Sasa kwan halijacopiwa. Mbna mnabisha ujinga bhna. Iyo c beat ya wimbo wa omarion Distance!.Huwa hamkosekani nyie
Wakudadavuwa na tabia zake za kisagaji atamtamani uyo mrembo kwenye video alafu ataipiga kufuli kama kawaida yake lakini atakuwa anaitazama video kwa siri akiwa chumbani peke yake.
Mbona mi nimeicheki direct, kwani kwako hadi usign in?nimeshindwa kuangalia under age,ngoja nicreate email faster nicheck sijui ni porn hii
Nilienda youtube ndo nikakutana na huo upuuziMbona mi nimeicheki direct, kwani kwako hadi usign in?
Ahahaaaah...Rommy Jones anarusha picha ya ex wa cousin wake na kuandika ni African Queen..
Yaani hata MKE wake sio African Queen kwake.. eeeh
Kweli Zee aliwapiga cha uso..
Nanilivyo na mud nzuri......usitake ban inuhusu kwasababu ya ungese wako.[/QUOTE]QUOTE="LAPTOP2016, post: 26225150, member: 394175"]We julliana kakojoe ulale.....................
Unaota wewe..!Bonge la song sema ndo hivyo watasanda kukosa promo ya Clouds
Huu wimbo mzur. Ila i kama remix ya wimbo wa omario Distance.
Pia basata watafungia huu wimbo mapema sna kma hatabadlisha iyo video. Ila anachokosa ni mashairi. Maneno yanarudiwa yale yale tu. Na hayafiki hata 50 wimbo wote.
hii ngoma balaaasNaona amesikiliza maoni ya wengi juu ya kubadilisha Producer,naona huu msumari kaupika Krizbeatz..!