New revelation, Dowans in huge debt

Hivi msumari ukiugongelea kwenye ubao ukaingia wote, unazidi kuugongelea ili kiwe nini? unataka kuvunja ubao? HIli suala ni la Dowans, kwamba Zitto alipotea/alifanya makosa ya kisiasa au hata mkakati mbona halina ubishi. Lakini kujaribu kuendelea kusema "zitto, hakuna kitu" au "Zitto hivi au vile" ni kukwepa mjadala.

Hamuonekani kukerwa na Dowans, Tanesco, wizara ambavyo ndio wahusika wakuu wa suala hili. Mnasemaje kuhusu Dowans, Ngeleja, Dr. Idris, Mmiliki wa Dowans?

Issue ni chembe ndogo tu katika mjadala huu and if you ask me an irrelevant one!

Ukiona watoto wanachezea bomu huku wakidhani ni mpira ni lazima uhakikishe wanaacha kufanya hivyo mara moja. Zitto katika saga hili tumdiagnose kama ni mpira au bomu, ili tuweze kuhakikisha kuwa wanachochezea ''watoto'' ni kitu salama. Hakuna msumari ulioingia wote, ungekuwepo basi tungesikia confession from Zitto. Je, jukumu la kusema kuwa msumari umeshaingia sio la Zitto mwenyewe?
Hapa ni sawa na mtu mwenye kidonda na malaria concurrently, hupaswu kuchagua kutibia malaria ukaacha kusafisha kidonda - hata kama unakiona kuwa sio major health threat.
Zitto ni mwana JF, anaweza kuja kutoa maelezo yeye mwenyewe. Huna haja ya kumdefend - unless otherwise!
 
Jamni kuhusu ZITTO acheni tu kijana napenda sifa sana na ndizo zinazomponza, nawahakikishia kuwa hajapewa senti hata moja ila aliitwa na wakuu fulani wakamsifu sana kuwa yeye ni mbunge makini mwenye akili sana na anajua kujenga hoja na wakamwambia urais unamngoja 2015. Baada ya kumsifia hivyo ndo akaambiwa asaidie kulainisha mambo ya Dowans, Vile ananpenda misifa akashindwa kuchomoa.

Hivi ZITTO tarehe 21 February 2009 pale bar ya G8 Summit kinondoni ulikuwa unachonga deal gani? plse uwe mkweli....
 
Mi naomba wale wote waliokuwa wanatetea Dowans akina Dar-es-Salaam na wenzake waje katika thread hii waendelee kututishia na kuitetea kampuni hii ya kitapeli. Ni aibu!
Mheshimiwa Zitto, mbona umeendelea kukaa kimya? Tunaomba utoe maelezo maana imekuwa dhahiri kwamba sababu ulizotoa za kununua mitambo ya Dowans ziko null and void in light of these facts but also I do not beleive that you were unaware of these facts. So you must have some justification.

Susuviri, Dar Es Salaam hapa, ni wapi niliitetea Dowans, hebu kandamiza hapa.
 
Susuviri, Dar Es Salaam hapa, ni wapi niliitetea Dowans, hebu kandamiza hapa.

Ni misimamo yako na wengine wenye mawazo kama yako. Shuhudia haya uliyosema huko nyuma.

Yes, kwa upuuzi wa watu kuchanganya siasa na biashara. Dr. Idriss kutaka kununuwa hii mitambo alikuwa sahihi kabisa.

Na alichofanya, ni kama kuwaambia haya. nyinyi si mnajuwa zaidi na lidode!

Hayo matatizo ya Tanesco yalianza 2006?, Kikwete ndie aliyepiga kifuwa kuyatatuwa, au umesahau? Na alipobaini kuwa watu aliowaachia majukumu ya kutatuwa matatizo ya umeme wamefanya madudu (Lowassa, Karamagi, Msabaha), hakuwasamehe wala kumtetea hata mmoja, akawacha sheria ichukuwe mkondo. Au yote hayo huyajui. Besides, akatimuwa uongozi wa juu karibu wote wa Tanesco, akmuweka trouble shooter (Dr. Rashid), ambae ana track record nzuri, katika taasisi zote alizoongoza kwa wakati wake, hakuna scandals na madudu anayo yakuta anayanyoosha. Kaanza kuiweka sawa Tanesco, watui wanalalamika, Jee hamuujuwi uozo uliokuwa Tanesco kwa miaka ne miaka rudi? mnafikiri JK au trouble shooter wake wanaweza kuya tatuwa matizo hayo kwa mwaka mmoja? No way, Tanesco ni shirika kubwa lililooza kila sehemu, lina hitaji total overhaul, na ndio Dr, Rashid yupo mbioni kuliweka sawa na at the same time anataka watu wasitaabike kwa umeme, simple solution: Mitambo tayari ipo Ubungo, madudu yamefanyika, yanashughulikiwa. Kesi ipo Paris, Jee hamkumbuki ya IPTL, kwa kujidai kuvunja nao mkataba sasa tunalipa kutoke puani na vinywani mwetu, IPTL kesi wameshinda, ikabidi tulipe gharama za kesi zao na zetu, fidia, na faida na pia kulipa muda wote ambao wallikuwa idle na mkataba bado uendelee.

Ukifikiria hayo machache tuu, Dowans hali kadhalika, kesi watashinda, kwani ipo Paris, hakuna longo longo huko. Mkataba ni wa kimataifa, mitambo itumike isitumike tutailipia, gharama za kesi, zao na zetu tutazilipia. Na ikiwa IPTL imetutokea puwani basi hii itatutokea (sijui wapi?).

Simpo solushen, negotiate na hawa jamaa, nunua mitambo ya mambo yao kwa bei nafuu, kila mtu alipe gharama zake za kesi (ambayo hatushindi kabisa), watu wapate umeme. Other than that ni kuwatesa wa Tanzania.

Tatizo hili ni pure commercial na watu walichukulie hivyo, mambo ya kuchanganya politics na commerce ndio yanatuweka pabaya. Jee hatuoni yaliyokwisha tukuta tukajifunza?

Kazi kwako, naipenda JF... kazi kweli kweli, upo ?
 
Ni misimamo yako na wengine wenye mawazo kama yako. Shuhudia haya uliyosema huko nyuma.





Kazo kwako... kazi kweli kweli, upo ?

Ama kweli kuna watu na viatu, sijaona hata sehemu moja niliyoitetea Dowans katika hayo! Duhh, hamuelewi maana ya kutetea au vipi?

Msimamo wangu umeuelewa haswa? au nikuombe urudie tena kusoma?

Katika yote niliyoandika kama utakuwa mwangalifu na makini, nimetetea wa Tanzania watakao patwa na adha ya kukosa umeme wakingoja mitambo mipya wakati mitambo ipo Ubungo, haisaidii kitu.

Hakuna nilipotetea Dowans.

Msikurupuke.
 


Documents seen by THISDAY show that during 2007, Dowans was awarded several loans worth a total of $55m from Barclays Bank alone


Hii benki ya Baclays Bank managing director wake ni Rished Bade ambaye anatoka Arusha na wana undugu na Idrisa Rashid managing director wa Tanesco.Huyu Rashid Bade walikuwa wote benki kuu ya Tanzania wakati Idrisa Rashid akiwa gavana wa Benki kuu.Hivyo kama mikopo ilichukuliwa Baclays twaweza unganisha dots.Pia ile mipesa ya EPA na Richmond iliyopitia CRDB kwa managing director Kimei haikuwa bahati mbaya.Kimei alikuwa ni mkurugenzi benki kuu wakati Idrisa Rashid alipokuwa gavana wa benki kuu.Kwa hiyo Idrisa Rashid,Rished Bade na Kimei wanafahamiana sana tu na kwa karibu wakiwa benki kuu na baada ya kutoka benki kuu inaelekea wameendeleza mtandao fulani wa kuliza nchi.

Kiufupi twaweza kusema unapoongelea ufisadi na connection na benki kuu Rished bade,Idrisa na Kimei wako connected Kiuhalifu unaohusu ndani na nje ya benki kuu kupitia EPA,Richmond,Dowans.Maana mapesa yaliibwa benki kuu yakaenda CRDB mengine yakaibwa kupitia Richmond yakaenda CRDB na mengine yakakopwa Baclays sijui yalienda wapi kama mmiliki anakana kuwa hakukopa labda yalifanyiwa money laundering kupitia benki fulani yakayeyukia kule kunakofanana na wanakoficha pesa akina chenge na wengineo.
 
Ama kweli kuna watu na viatu, sijaona hata sehemu moja niliyoitetea Dowans katika hayo! Duhh, hamuelewi maana ya kutetea au vipi?

Msimamo wangu umeuelewa haswa? au nikuombe urudie tena kusoma?

Katika yote niliyoandika kama utakuwa mwangalifu na makini, nimetetea wa Tanzania watakao patwa na adha ya kukosa umeme wakingoja mitambo mipya wakati mitambo ipo Ubungo, haisaidii kitu.

Hakuna nilipotetea Dowans.

Msikurupuke.

Subiri kidogo tu - utajua "ghost faces behind Richmond/Dowans" Halafu utajua kwa nini mitambo ya Dowans ni lazima inunuliwe - labda wazalendo wa kweli waseme NO, no, nooooo !! Utakosaje kutetea Richmond/Dowans kama unatetea nguvu zinazosukuma Richmond/Dowans !!
Stand now and be counted - uko upande gani ?

Kwa ukumbusho tu - ripoti ya Mwakyembe ilificha nini kwa kulinda heshima ya serikali - Lowasa, Karamagi au Msabaha ? Mbona hawa walitoswa ? Dar es Salaam, jaribu kupima mawazo yako - Ama hujui kinachoendelea au unajua vizuri sasa, sasa kipi kinakusukuma ?

Haya ndio yalisemwa na Mwakyembe baada ya hao jamaa kujiuzulu :-

If the House decided that way, then it will be only fair for the parliamentary select committee to spill the beans by saying even those things we decided not to reveal as a way of safeguarding the government's integrity. I urge those out to cleanse government officials named in the report to be ready to surrender all their leadership positions if they fail to prove that those mentioned were unfairly treated. How can the public out there continue to hold members of the august House in high esteem if we keep discussing issues that we have been already discussed and concluded ?

Ni watu gani hawa anawaongelea Mwakyembe ?
 
Hii benki ya Baclays Bank managing director wake ni Rished Bade ambaye anatoka Arusha na wana undugu na Idrisa Rashid managing director wa Tanesco.Huyu Rashid Bade walikuwa wote benki kuu ya Tanzania wakati Idrisa Rashid akiwa gavana wa Benki kuu.Hivyo kama mikopo ilichukuliwa Baclays twaweza unganisha dots.Pia ile mipesa ya EPA na Richmond iliyopitia CRDB kwa managing director Kimei haikuwa bahati mbaya.Kimei alikuwa ni mkurugenzi benki kuu wakati Idrisa Rashid alipokuwa gavana wa benki kuu.

Huyu Rished Bade sidhani kama anauraia wa TZ maana wazazi wake ni wasomali. Kama hajawahi kuomba alipofikisha miaka 18, he might be working illegaly in TZ.
 
Dar es salaam,
Duh mkuu wangu ama kweli wewe mtoto wa mjini.. mitambo ipo Ubungo sio..

wanabodi,
hawa Tanesco wanacheza shere tu!..hata wakishikilia mitambo haiwezi kuwasaidia kitu kwani mitambo hiyo imewekwa kama dhamana ya mkopo waliochukua Dowans.. period.
Hata ktk nyumba za kupangisha benki ikija chukua nyumba ya mtu aliyeshindwa kulipia Mortgage mpangaji hawezi kukatalia nyumba au kukataa kuondoka kwa madai kwamba anamdai mwenye nyumba hivyo anashike nyumba...Utatolewa mkuku tena vibaya sana..Tanesco ni mpangaji tu.
Hii yote zuga kinachofuatia ni ununuzi wa mitambo hiyo kulipa deni la Dowans na sio kabisa tunanunua mitambo hiyo kwa sababu ya uhaba..
 
Hii benki ya Baclays Bank managing director wake ni Rished Bade ambaye anatoka Arusha na wana undugu na Idrisa Rashid managing director wa Tanesco.Huyu Rashid Bade walikuwa wote benki kuu ya Tanzania wakati Idrisa Rashid akiwa gavana wa Benki kuu.Hivyo kama mikopo ilichukuliwa Baclays twaweza unganisha dots.Pia ile mipesa ya EPA na Richmond iliyopitia CRDB kwa managing director Kimei haikuwa bahati mbaya.Kimei alikuwa ni mkurugenzi benki kuu wakati Idrisa Rashid alipokuwa gavana wa benki kuu.Kwa hiyo Idrisa Rashid,Rished Bade na Kimei wanafahamiana sana tu na kwa karibu wakiwa benki kuu na baada ya kutoka benki kuu inaelekea wameendeleza mtandao fulani wa kuliza nchi.

Kiufupi twaweza kusema unapoongelea ufisadi na connection na benki kuu Rished bade,Idrisa na Kimei wako connected Kiuhalifu unaohusu ndani na nje ya benki kuu kupitia EPA,Richmond,Dowans.Maana mapesa yaliibwa benki kuu yakaenda CRDB mengine yakaibwa kupitia Richmond yakaenda CRDB na mengine yakakopwa Baclays sijui yalienda wapi kama mmiliki anakana kuwa hakukopa labda yalifanyiwa money laundering kupitia benki fulani yakayeyukia kule kunakofanana na wanakoficha pesa akina chenge na wengineo.

Arusha Connection still....ongoing.......I love this!!
 
New revelation: Dowans in huge debt

-Controversial turbines named as collateral for massive loans from Barclays, Stanbic banks

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam


THE controversial Dowans Tanzania Limited company is carrying a massive debt resulting from loans received from various commercial banks to the total amount of $75m (over 100bn/-), THISDAY can reveal today.

Our investigations have established that the loans were secured by registered company assets including the 100-megawatt power generation turbines that the state-run Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) has been trying to purchase through its parent government ministry.

Documents seen by THISDAY show that during 2007, Dowans was awarded several loans worth a total of $55m from Barclays Bank alone, and another $20m from Stanbic Bank.

In May 2007, a debenture in favour of Stanbic Bank Tanzania Limited was taken out, under which all present and future assets of Dowans Tanzania Ltd - both movable and immovable were placed under mortgage for the loan.

A month later (June 2007), Dowans initially secured a loan of $20m from Barclays Bank’s Mauritius branch, and five months later, landed another credit line of $5m - this time from Barclays Bank Tanzania Limited.

Again, the company put up its registered assets as collateral.

Yet another certificate of indebtedness shows that Dowans secured another loan of $30m from Barclays Bank in November 2007.


It could not be immediately established if either the TANESCO Managing Director Dr Idris Rashidi or the Minister for Energy and Minerals, William Ngeleja, were aware of these debts when vigorously pursuing their bid to pave the way for a government purchase of the company’s used turbines at an astronomical price of $60m (approx. 90bn/-).

However, the fact that Dowans still has such debentures in place with a number of banks could have further complicated any deal for the purchase of the turbines presently sitting idle in Ubungo, Dar es Salaam.

According to the certificates of indebtedness signed by Dowans, the company acknowledges its debts with each of the banks for specified sums of money, on all of which interest is due until the principal amounts are paid back.

Going by these latest findings, it is clear that if the dubious plan to buy the Dowans power turbines had succeeded, someone 'either TANESCO or the government' would have ended up inheriting these colossal debts.

Although Rashidi announced last week that the public power utility had abandoned the controversial plan to buy the Dowans machinery, the whole issue appears to have ignited a heated public debate that shows few signs of cooling down any time soon.

Somewhere at the centre of the debate is the Kigoma North Member of Parliament Zitto Kabwe (CHADEMA), who has raised many an eyebrow in publicly backing the Dowans turbines purchase proposal in his capacity as chairman of the parliamentary public corporation accounts committee.

The opposition legislator, who has steadily built up a reputation as a refreshingly maverick and strong-minded politician, has even found himself at direct loggerheads with fellow MPs, notably members of the parliamentary energy and minerals committee which had already vetoed the proposal.

The Speaker of the National Assembly, Samwel Sitta, has also made his position clear as strongly opposed to the proposed Dowans deal, pointing out that it would effectively revive the nationally-embarrassing Richmond scandal saga of last year.

The Speaker minced no words in cautioning the government against getting itself involved in such a deal.



Hakyanani, tungetapeliwa vibaya na mwisho wa siku mitambo ambayo tungenuu ka mabilioni kutoka Dowans ingeng'olewa na hayo Mabenki na giza lingerudi palepale au tungelipa na deni la Dowans Tshs. 90 bn bei ya kukunua kutoka Dowans + Tshs 90 bn deni la mabenki= 1080 bn!.

ZITO JIEPUSHE KUINGILIA SIASA ZA CCM MAANA WENGIWAO NI MAFISADI, WATAKUZAMISHA! TUNAJUA UNA UCHUNGU NA NCHI YETU LAKINI UGOMVI WAO WAACHIE WENYEWE, NDUGU WAKIGOMBANA SHIKA JEMBE UKALIME, 2010 WATAPATANA UPYA THEN UTABAKI NA AIBU!
 
Two wrongs don't make a right! Haya ndio matokea ya kufutwa kwa maadili ya Uongozi yaliowekwa chini ya Azimio la Arusha. We need these rules back and in full swing! Yes Mwakyembe did well to lead efforts to uncover the Richmond with his team and we all salute that, but how on earth can he justify his position as a Vice Chairperson in the committee and Head of Probe team dealing with his very own area of interest, and making and influencing laws that are directly relating to his area of such a close interest? I don't care what they can say with existing rules - whether Mwakyembe did put this kwenye daftari of interest bungeni as law requires, this simply proves before our very eyes that kama Wananchi tumelala usingizi mzito, mzito mno kwani this should have never been allowed to exist in a first place, period! Huwezi wewe kuwa a judge, jury, victim, advocate kila kitu wewe mmoja! No way.

This does not mean Lowassa was right or is right! Not at all, wote ni wachafu wa maadili and don't tell me katika watu 40milioni wa Tanzania hakuna watu wasafi!!! This is very frustrating and we seriously need to change these debates into actions now. Tunaibiwa day light! We get presidents opening companies while in State House - then we say KATIBA haituruhusu kuuliza na kupeleka mahakamani, we get people getting appointments kiukoo wakati katiba iko wazi hii sio nchi ya Kifalme wala Kiukoo, we get Richmonds and Dowans, We get KIGODA and we still debating endlessly and spending countless hours online and on print and nothing is changing as fast as it should be!

We all need to get organized kama Watanzania, sio kama watu wa chama chochote, kama Watanzania na kudai nchi ikombolewe kutoka kwa huu ujangili uliozidi kikomo. I don't have to be modest in my statements kwani hawa watu they have not modesty all they have is power and will to get rid of anyone coming to them in the open but we need to plant this seed of true revolutionary minds as much as possible so that even if you or I are not here, people can take the fight to the people for peoples good. Tuache kutukanana online endlessly.

Mwakyembe amechemsha BIG time. Lowasa BIG time, Our President is not using his political capital to clean the mess. You tell me who is there to fight for your corner??? Niambie kama sio wewe peke yako na mie peke yangu?? Now Slaa anapendekeza noble idea, wapunguziwe posho ili miradi majimboni ifanyiwe kazi, wait and see kama atapata any support! Haiwezekani kmwe kwani pale asilimia kubwa sana ni Ujangili wa Nchi ndio unaendelea! Huwezi nunua mashangingi yote yale wakati watu wenyewe wenye pesa wana shida left right centre! You tell me, leo hii mkiwa na kikundi chenu, mchange kuanzisha association ili mtoe huduma ya shule - hamna waalimu lakini mnaweza fundisha wenyewe kwa kuanza. Kama wajumbe mtaamua kulipana mishahara minono wakati mnajua pesa hakuna?? No way, mtajitolea ikibidi kama kweli what you want ni association yenu ifanye kazi. Lakini mkiwa na nia za kichonyo, wapo watakaosema lazima tulipwe na watajichotea ndio hawa wabunge wetu. Their association is how they manage affairs za nchi kwa jina la Uzalendo halafu wafanyayo hakuna Uzalendo wowote ule, na ndio hao hao wanasema wanaoishi nje ya nchi si Wazalendo?? Akili hiyo??
 
Last edited:
Two wrongs don't make a right! Haya ndio matokea ya kufutwa kwa maadili ya Uongozi yaliowekwa chini ya Azimio la Arusha. We need these rules back and in full swing! Yes Mwakyembe did well to lead efforts to uncover the Richmond with his team and we all salute that, but how on earth can he justify his position as a Vice Chairperson in the committee and Head of Probe team dealing with his very own area of interest, and making and influencing laws that are directly relating to his area of such a close interest? I don't care what they can say with existing rules - whether Mwakyembe did put this kwenye daftari of interest bungeni as law requires, this simply proves before our very eyes that kama Wananchi tumelala usingizi mzito, mzito mno kwani this should have never been allowed to exist in a first place, period! Huwezi wewe kuwa a judge, jury, victim, advocate kila kitu wewe mmoja! No way.

This does not mean Lowassa was right or is right! Not at all, wote ni wachafu wa maadili and don't tell me katika watu 40milioni wa Tanzania hakuna watu wasafi!!! This is very frustrating and we seriously need to change these debates into actions now. Tunaibiwa day light! We get presidents opening companies while in State House - then we say KATIBA haituruhusu kuuliza na kupeleka mahakamani, we get people getting appointments kiukoo wakati katiba iko wazi hii sio nchi ya Kifalme wala Kiukoo, we get Richmonds and Dowans, We get KIGODA and we still debating endlessly and spending countless hours online and on print and nothing is changing as fast as it should be!

We all need to get organized kama Watanzania, sio kama watu wa chama chochote, kama Watanzania na kudai nchi ikombolewe kutoka kwa huu ujangili uliozidi kikomo. I don't have to be modest in my statements kwani hawa watu they have not modesty all they have is power and will to get rid of anyone coming to them in the open but we need to plant this seed of true revolutionary minds as much as possible so that even if you or I are not here, people can take the fight to the people for peoples good. Tuache kutukanana online endlessly.

Mwakyembe amechemsha BIG time. Lowasa BIG time, Our President is not using his political capital to clean the mess. You tell me who is there to fight for your corner??? Niambie kama sio wewe peke yako na mie peke yangu?? Now Slaa anapendekeza noble idea, wapunguziwe posho ili miradi majimboni ifanyiwe kazi, wait and see kama atapata any support! Haiwezekani kmwe kwani pale asilimia kubwa sana ni Ujangili wa Nchi ndio unaendelea! Huwezi nunua mashangingi yote yale wakati watu wenyewe wenye pesa wana shida left right centre! You tell me, leo hii mkiwa na kikundi chenu, mchange kuanzisha association ili mtoe huduma ya shule - hamna waalimu lakini mnaweza fundisha wenyewe kwa kuanza. Kama wajumbe mtaamua kulipana mishahara minono wakati mnajua pesa hakuna?? No way, mtajitolea ikibidi kama kweli what you want ni association yenu ifanye kazi. Lakini mkiwa na nia za kichonyo, wapo watakaosema lazima tulipwe na watajichotea ndio hawa wabunge wetu. Their association is how they manage affairs za nchi kwa jina la Uzalendo halafu wafanyayo hakuna Uzalendo wowote ule, na ndio hao hao wanasema wanaoishi nje ya nchi si Wazalendo?? Akili hiyo??

Daahh....Mkuu Taasisi tumekusikia........na tunakuelewa.......hili jambo tumeshalijadili kwa kirefu...inaonekana kila mtu ana uelewa wake kuhus conflict of interest........
 
Nawashuru sana watu hawa, waliosimama kidete, tusinunue ile mitambo ya Dowans, Mr. Samwel Sitta, Dr Halison Mwakyembe hao ndio walijitoa mhanga kwenye radio na TV kupinga hili swala, tunajua mambo mengi yalitokea hapo. Sasa naamini hata zile ajari za akina Mwakyembe kule Iringa zilikuwa za kupanga. Na waheshimiwa kama Kilasi na Sherukindo wamepotezwa na mafisadi
 
Kuna mtu wa TRA hapa atuwekee hadharani kiasi cha kodi ambacho Richmond/Dowans wanadaiwa? plus interest charges and penalties for late payment. Kama hayupo basi hakuna ubaya tukiitafuta hii namba kutoka kule TRA sidhani kama na yenyewe ni siri kubwa.
 
Habari za kuaminika ambazo sikuweza kuzihakiki zaidi kutoka ndani ya TRA zinadai kuwa dowans inadaiwa kodi zaidi ya billion 25 ambazo zilikadiliwa na kukubaliwa na kampuni hiyo!, yeyote mwenye habari zaidi tumwagie humu jamvini
 
Habari za kuaminika ambazo sikuweza kuzihakiki zaidi kutoka ndani ya TRA zinadai kuwa dowans inadaiwa kodi zaidi ya billion 25 ambazo zilikadiliwa na kukubaliwa na kampuni hiyo!, yeyote mwenye habari zaidi tumwagie humu jamvini

Hio wala sio siri mkuu, kuna wakati TRA walitia kufuri kwenye mitambo ya DOWANS lakini kuna mnene aliingilia kati...
 
Yaani kuna kiumbe mwenye uwezo wa kuzuia mapato/kodi ya nchi kwa kiasi cha sh.25 bilioni !!
Haki ya nani, huyo hukumu yake ni kunyongwa tuu..
 
Back
Top Bottom