Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Rostam na Lowassa wanakabiliwa na losses kubwa mno kutokana na mitambo ya dowans na loans zake zenye interest kubwa kwani walitegemea Lowassa kama Prime Minister angepush, sasa kuondolewa kwake kumeleta matatizo mengi mno kwani hata zile hela Manji alizorudisha kama portion ya Kagoda wao ndio walitoa.
Moelex
Macho yangu labda yana malyenge.......MANJI yule wa Yanga naye kumbe yumo huku kwenye uwanja wa ''FISI'' au mkuu vidole vimeteleza?