New revelation, Dowans in huge debt

Rostam na Lowassa wanakabiliwa na losses kubwa mno kutokana na mitambo ya dowans na loans zake zenye interest kubwa kwani walitegemea Lowassa kama Prime Minister angepush, sasa kuondolewa kwake kumeleta matatizo mengi mno kwani hata zile hela Manji alizorudisha kama portion ya Kagoda wao ndio walitoa.

Moelex

Macho yangu labda yana malyenge.......MANJI yule wa Yanga naye kumbe yumo huku kwenye uwanja wa ''FISI'' au mkuu vidole vimeteleza?
 
Jamani mabenki yanataka hela zao, wazipate wapi?kutoka kwa Dowans au Serikalini?
 
Mimi sina la kusema,utasema nini hapa?Tuanzie wapi?Au na Mbatia alishapewa kidogo au alikuwa anajua ndo akasema tuwe kama Sauzi,malithiano(!!!!!!!!!!).
Kwi kwi kwi kwi kwi hi hi hi hi hi hi Mbatia kweli kabisa yaaaani tuldhiane na wezi?Waje wasimame mbele waseme kuwa barabara hazikujengwa,mikopo kwa wanafunzi hakupatikana,madawa hospitalini hakua na ?¤"2=?+ na mengine mengi,alafu wataishi wapi,watatembea wapi.
Sasa Mkulo amekuja na lake la Ku-Bail OUT.Ndo kila janga mtuibie? Jamani nna wasiwasi hata HaoTRL hizo bail out ni chogi,ndo waungwana wanakusanya pesa ya kampeni.Mungu inusuru nchi yetu.Ulituhaidi kwamba hautarudisha moto wala maji,shusha chochote kwa CCM,hata moto ni mdogo..........basi
 
Haya majizi ya mchana ni haki yao kufilisiwa na kutupwa lupango. Wamekua waki-ifilisi Nchi ya wajukuu zetu kwa muda mrefu, sasa ni zamu yako. Huu ni wakati mgumu sana kwao, manake hizi benki za wenzetu watawashikia bango kiuhakika.
 
LETS CALL A SPADE, A SPADE... ZITTO ZUBERI KABWE NAYE ANANUKA UFISADI, PERIOD.

Mtu meticulous kama ZITTO HAIWEZEKANI hakuyajua haya, aliunder estimate watanzania na kuwatake for granted. SHAME ON YOU ZITTO!
 
Pressed to name individuals who were transacting with Tanesco on behalf of Dowans, he named them as Henry Surtees, who was the company representative, and managing director Guy Picard, who rarely visited Tanesco. Both are foreigners.
MAG3,
Hmm hao jamaa transacting on behalf of Dowans umewataja hapo juu apparently huyo Henry Surtees ni Financial Controller at Caspian Limited na Guy Picard was the General Manager for Songas Power Project.
 
Sina data ni lini hao akina Richmond na Dowans walianza kutuuzia umeme. Bila shaka walilipwa pesa nzuri kwa huduma waliotoa kwa Tanesco au Watanzania. Hivyo basi, katika hayo madeni yaliyotajwa hakuna kilicholipwa? Na kwa mauzo ya hio mitambo si wanategemea kulipa madeni yao? Ni kweli katika kila biashara kuna faida na hasara. Sasa kama mwishowe watakuwa wamefaidika au la si yetu sisi hayo. Muhimu tukumbuke kuwa wamewekeza assets za thamani kubwa katika hayo mabenki otherwise wasingekopeshwa pesa za kununulia mitambo hiyo. Kwa taswira hiyo, dhamana haikuwa mitambo bali ni assets walizo rubuni huko kwenye hayo mabenki. Naomba muniweke sawa wenzangu iwapo nimekosea hapa. Hao wajamaa ni wajanja sana wameshapanga kuuza mitambo wakomboe assets zao. Mabenki bila shaka wamehodhi assets za thamani zaidi ya thamani ya hiyo mitambo.
 
LETS CALL A SPADE, A SPADE... ZITTO ZUBERI KABWE NAYE ANANUKA UFISADI, PERIOD.

Mtu meticulous kama ZITTO HAIWEZEKANI hakuyajua haya, aliunder estimate watanzania na kuwatake for granted. SHAME ON YOU ZITTO!

Hivi inawezekana kweli watu wa Dowans walimvuta pembeni Zitto, of all the people, wakakamilishana nae maswala? Duuu! Watakuwa na guts hao watu. Kwa nini wasingeanzia kule CCM kwenye kamati ya Shelukindo na wenzie, umfuate kujaribu kumtongoza Zitto, sijui wangeazia wapi. Au ni Zitto ndio aanze kuwa approach pembeni! Duuuu! Mbingu na ardhi zitakuwa zilitetemeka siku hiyo.

Lakini ma mafia wanasema "every man has a price." Kwamba hata yule DPP Feleshi yule ana bei. Hata Kikwete mwenyewe, na jaji Mkuu Ramadhani, na Askofu Mkuu Pengo na Mufti Mkuu Simba na Harrison Mwakyembe yule, wanasema inawezekana ni dau lako tu. Testi zali! Kahongwa aid wa Yesu Kristo, tena kamtoa akauawe, itakuwa dili la mara moja anakamilishana na mwenzie anaishia na kwenye siasa kwenyewe unajiondokea kwenda kufundisha, hafi mtu, hafungwi mtu, haumii mtu, umeme wa Dowans unakuja watu wanapiga makofi, yanasahaulika. Kila kitu chawezekana, hakuna kitu kipya chini ya jua, lakini, mmmh, kuna vingine uwezekano ni mdogo zaidi ya vingine. Zitto, sidhani, lakini, mmmh..I don't know man!

Zitto mwenyewe huwa anapenda kusema "siwezi kununuliwa, kwani bei yangu haijulikani." Anasema haijulikani, hasemi sina bei!

Every man has a price!
 
The truth of the matter is if Zitto and all those who pushed the purchase of Dowans' turbines didnt know about the loans and collaterals of Dowans, they dont deserve to lead Tanzanians. You can not push any deal with any company if you dont have such important information as its loans and collaterals. Everybody knows that companies take loans and use their effects as collaterals, so how can such reckless people be allowed to lead Tanzanias.
The thing is they are either reckless or corrupt, either way they dont deserve to hold public posts!
I call for resignation Zitto.
 
The truth of the matter is if Zitto and all those who pushed the purchase of Dowans' turbines didnt know about the loans and collaterals of Dowans, they dont deserve to lead Tanzanians. You can not push any deal with any company if you dont have such important information as its loans and collaterals. Everybody knows that companies take loans and use their effects as collaterals, so how can such reckless people be allowed to lead Tanzanias.
The thing is they are either reckless or corrupt, either way they dont deserve to hold public posts!
I call for resignation Zitto.

marafiki zangu hao wanasema , wanacho jali ni mitambo, hayo mengine kwao hayana umuhimu, ndio utendaji wetu wa kazi huo.
 
Lakini ma mafia wanasema "every man has a price." Kwamba hata yule DPP Feleshi yule ana bei. Hata Kikwete mwenyewe, na jaji Mkuu Ramadhani, na Askofu Mkuu Pengo na Mufti Mkuu Simba na Harrison Mwakyembe yule, wanasema inawezekana ni dau lako tu.
Zitto mwenyewe huwa anapenda kusema "siwezi kununuliwa, kwani bei yangu haijulikani." Anasema haijulikani, hasemi sina bei!

Every man has a price!

Mhhh,

Kuna vitu duniani havina PRICE. Ni ULAFI tu wa hawa wanasiasa wasioshiba milele. Kweli ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.

Hivi dau gani mtu utadai mtu akija na kusema kuwa anatengeneza video/film za porno na anataka wewe ucheze. Atakupa dau kubwa sana. Ila anataka akuone wewe na dada yako/upppsss mama yako (na upewe 1.milioni dollar).

Najua kuna wengine watachukua deal, ila nafikiri wengi hao inabidi wapelekwe Mirembe. Kwa hiyo, siyo kweli kuwa Kila mtu ana BEI YAKE.
 
Wanabodi,
Kama mnakumbuka niliyasema haya.. Nilimwambia Zitto kuhusiana na Dowans kama anafahamu lolote kuhusiana na Dowans ama mitambo yenyewe kama kweli wameinunua wao ama kuna vitu vingine wasivyofahamu. Na nikasisitiza kwamba kazi ya kamati ya mahesabu ilikuwa kufuatilia Dowans na mitambo hii kimahesabu na sio kusikiliza matumizi ya Tanesco kujenga sababu.. Nikasema ni sawa na kuoa kwa kisingizio cha KIU (nyege) bila kufahamu undani wa mwali/mme unayemvuta..
Na sintashangaa kusikia mengi zaidi kuhusiana na Dowans kwa sababu Hakuna kiongozi hata mmoja aliyefuatilia mauziano ya Tender kati ya Dowans na Richmond jambo ambalo nashindwa kabisa kuelewa hii sublet imetokea vipi bila serikali kuhakikisha kwamna Dowans lilikuwa shirika lenye kila sifa zinazotakiwa kinyume cha Richmond...
Siku Mwakyembe alipohoji uhusiano kati ya Dowans na Rostam na kuwa hana imani na shirika hili kwa sababu linatumia address ya Rostam, akazimwa haraka sana ndio siku nilifahamu kwamba tumekwisha!..
 
Kifupi ni kwamba Tanesco wakinunua mitambo ya Dowans na kuwapa hao MaJini wamiliki wa Dowans Kitita cha noti, Majini hao wa Dowans wangeingia mitini na kitita hicho na kujisimika vyema kwenye uchaguzi wa 2010 na kuiacha Tanesco ikidaiwa na Mabenki yaliyoikopesha Dowans.
Tuchukulie kwamba tupende tusipende ni lazima tununue mitambo ya Dowans.

1Je majini hawa wa Dowans watakuwa majini wema kupeleka kiasi wanachodaiwa huko kwenye mabenki na kutuachia mitambo iwe mali yetu?

2Majini hao Wataingia mitini na kitita chote cha dolali na kutuacha hoi tukilipia mitambo hiyo kwenye mabenki yaliyo kopesha.

3Tatizo ni hilo deni kwa mabenki au pengine hata usafirshaji wa mitambo hiyo nao haujalipiwa? Au kuna lolongo la mambo yanayostusubiri.

4Watetezi wa kununua mitambo ya Dowans wanalijua hilo kwamba mitambo ya Dowans haikununuliwa Cash na wenyewe wanataka hela yao?

5Kama ni kweli Mabenki ndiyo yalilipa gharama zote za kununua mitambo ya Dowans,Je majini wamiliki wa mitambo ya Dowans wana haki ya kuuza mitambo hiyo au ni Mabenki wakopeshaji?

6 Hivi kwa nini serikali inatamani kuuziwa mbuzi ndani ya gunia kwa bei ya ngombe?
 
Madela Wa - Madilu,
Binafsi naamini kabisa hawa jamaa wataingia mitini na kuwaachia benki wachukue hiyo mitambo na sisi ndio imetoka hiyo.. Sisi ni wakodishaji tu hatuna haki ya kumiliki mali hiyo kisheria hata kama tunawadai Dowans mkataba utavunjika tu na shirika halipo mahala popote hata huko South/Arabuni watasema hawana Uhusiano na Dowans ya Bongo....Prove it!.. hatuna kitu watupuuuu. Sisi hatuku consult any of those mother companies (kama zipo) kabla ya kuingia mkataba na Dowans ya Bongo!..Na hapakuwepo na haja kwani tulikwisha ingizwa mjini..
Haiwezekani Barrick Huko Canada hawana uhusiano au habri na Barricks TZ hata kidogo..Hakuna shirika hata moja toka nje ambalo halifahamu uwekezaji wake nchini... haiwezekani kabisa!
Kila kitu ni wazi sasa hivi tumekataa kununua hiyo mitambo, hivyo deni watashindwa kulilipia na kama tungechukua mitambo hiyo ingekuwa haina tofauti na magari yanayotoka UK au South na kuuzwa dar chini ya meza. Benki hizo wangetunyang'anya kisheria kwa sababu ni dhamana iliyowekwa sahihi na wamiliki..Sana sana sisi tungekuwa tumeingizwa mjini tungeachia au tungelipa madeni hata kama ni serikali ndio ilonunua..Hatutaka kutumia nguvu ya dola wala kupelekana mahakama ya dunia na benki kubwa kama hizi..Wangetumaliza vibaya vibaya, nadhani sasa hivi hao wasomi wanaosema sisi longolongo nyingi na siasa ktk maswala ya Kitaalam wameona jinsi Utapeli unavyokuwa mbele ya elimu ya darasani!
 
Tafadhali Mh. Zitto hebu ingia JF utueleze kama kamati yako iliyajua haya?
 
ewe shujaa zito kabwela....! twaomba utueleze ktk kununua DOWANS yako na hiyo BILLION 100 IPO NDANI YA BEI AU NJE...!
KWELI THE BEUTIFUL ONES ARE NOT YET BORN.....!
 
Lets refresh our memories:

a. Haya majenereta yalinunuliwa kwa fedha za nani na kwa kiasi gani na kwa udhamini wa nani?

Simpo na ngumu. Maana Dowans ilivyonunua Richmond, lazima ilikuwa na hela. Utata unakuja pale ambapo tena wamekopa, sasa sijui walikopaje tena, yaani nachanganyikiwa.

Naamini huwezi kwenda benki na kusema nataka kuinunua ileeee kampuni nikopesheni. Na kama Dowans ilikuwa na hela ikaainunua Richmonduli, sasa hizi fedha ilizokopa zilikuwa za nini? Maana 100m Usd sio hela ya kukopa kwa ajili ya operations. Ni Capital kabisa!

Mi nimechanganyikiwa.
 
Kama Zitto asingeweza kuja hapa jamvini na kuandika mwenyewe angaliweza kujitetea kuwa alikuwa quoted out of context na kwa kuitumia barua aliyoiandika kwa waziri wa nishati na madini angejivua katika hili.Worse enough alifanya mahojiano na ITV ambayo yataendelea kubaki kama ushahidi...Pia alituambia kuwa "sheria si msahafu".
I just imagined kama utetezi huo wa kununua mitambo chakavu ungekuwa umetolewa na "waziri kijana",believe me zingepazwa sauti humu ndani za kuwajibika...
 
Back
Top Bottom