NEW MISS TANZANIA 2018 SPECIAL THREAD

NEW MISS TANZANIA 2018 SPECIAL THREAD

Lakini pia watanzania tuna tatizo la kujielezea. Ndo maana mamiss wetu wanakuaga wazuri wakifika huko mbele uoga unawaangusha
Ila hata kamati zilikuwa hazipo serious maana kuna wasichana wenye uwezo mkubwa sana lakini kwa taswira iliyojengeka kwa hili shindano inakuwa ngumu kushiriki, watengeneze jina kwanza ili wanaostahili waanze kushiriki..

Ila kwa kuwa kapewa mwanamke labda watakuwa serious this time
 
Washindi wa Miss Mbeya

36582306_276549873120737_2068644055788552192_n.jpg
35575736_2057141401026905_8902793448793309184_n.jpg
36159779_2144582629154172_2660919543395778560_n.jpg
 
Ila hata kamati zilikuwa hazipo serious maana kuna wasichana wenye uwezo mkubwa sana lakini kwa taswira iliyojengeka kwa hili shindano inakuwa ngumu kushiriki, watengeneze jina kwanza ili wanaostahili waanze kushiriki..

Ila kwa kuwa kapewa mwanamke labda watakuwa serious this time
Na akifanikiwa kufanya tofauti mwaka huu shindano litarudi kwenye chati kama zamani. Lungenda alizingua sana. Watoto wa watu walikua wanakutana na msururu wa wanaoume wanaotaka kuwala mpaka ushinde lazima utoe mchezo
 
Sheeenzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mchumba uliniambia umeacha ufisi lakini

Mchumba natania tu, unajua mbwembwe za nyuma ya keyboard.

Ila si haba, mtu akijipendekeza nitakuomba ushauri.
 
Washindi wa Miss Mwanza 2018


36085270_490761501356804_8395164572520022016_n.jpg
 
Back
Top Bottom