Mmmmmh
Dodoma wamepania
Tatizo la mamiss wa Tz ni kujielewa ...Wazuri
HaahahahaaaNina interest mwaka huu.
Wanatania hawa walahi
Wanatania hawa walahi
Lakini pia watanzania tuna tatizo la kujielezea. Ndo maana mamiss wetu wanakuaga wazuri wakifika huko mbele uoga unawaangushaTatizo la mamiss wa Tz ni kujielewa ...
Yaani awe na uwezo wa kujielezea kwa ufasaha, ushawishi na uelewa mkubwa sana. Sasa mnampeleka mtu anaesubiri kuingia chuoni akapambane na madaktari , engineers na models wa muda mrefu...
Hata sijajua ila Dar tarehe 3
Kambini kwa Dar ntakwambia. Instagram account sijui. Unataka ukatafute kamrembo kako nini na wewe? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ndo tamu, kambini wapi? Wana instagram account?