Umekuwa Veterani... haya hongera... na pole piaMimi umri ushanitupa mkono
Kwanini jamani?Aisee! Wewe na Demiss natamani kuwaona uso wa uso
nakuja pmKwanini jamani?
Mnanivutia sana hapa jfKwanini jamani?
nakuja pm
Mkuu hebu tupe definition ya uzuri.Wanatania hawa walahi
Fire. Sema kuna wenzangu na mie nimewaona hapo watapata tabu sana kumantain miili yaoWashiriki wa fainali za Miss Kilimanjaro 2018 wanaendelea na mazoezi ya mwisho . Nani kua Miss Kilimanjaro 2018??
View attachment 809258
Always mshindi namba mbili ndio anakuwa mkali kuliko ktk tatu bora. Hivi ni kwanini!? Au ni macho yangu ?
Cheki kitu namba 2