Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,775
- 257,515
ZIFAHAMU SIFA ZA WASHIRIKI MISS TANZANIA KWA MWAKA HUU.
Washiriki wote katika ngazi zote za mashindano watakuwa wasichana tu wenye Sifa zifuatazo; umri wa kati ya miaka 18 hadi miaka 24(mshiriki aambatanishe cheti chake cha kuzaliwa)
Awe RAIA wa Tanzania
Awe na ufahamu wa kutosha
Awe na uwezo wa kujieleza
Asiwe ameolewa na asiwe na Mtoto
Asiwe mwanafunzi wa shule ya msingi au sekondari
Awe na nidhamu
Awe na elimu kuanzia kidato cha NNE na kuendelea
Asiwe amewahi kushiriki mashindano ya Miss Tanzania ktk ngazi yoyote zaidi ya Mara moja ktk mwaka husika
UremboNaKaziKwaMaendeleoYaJamii
MissTanzania2018