New Delhi: Tembea ujionee

Aisee ...kweli tembea uone ...jamaa hawataki kutumiwa kibwege ...sasa ikitokea wakafa kwenye hayo maandamano je ? !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Ukitaka kuwa bilionea anzisha biashara ya kuuza honi za magari na pikipiki hapo Newdelhi.
2. Kuna baashi ya maeneo mama NOIDA bajaji zinapita upande wowote wa barabara so usishangae wakati unaenda ukakutana na bajaji zinarusi ya ni vururu vururu.
3. Ni nadra sana kuwaona polisi yani polisi ni mmoja mmoja sana.
4. Usishangae kuona ng'ombe wanakula majalalani kama mbwa.
5. Bia zinauzwa kwa kificho sana si rahisi kuziona bar kama bongo hapa.
6. Wamejitahidi sana kuwaelimisha wagu wao kuhusu kulipa kodi wao wanaiita GST, so utakaponunua kitu ata kwa maduka madogo madogo lazima utalipa kodi na lazima utapa risiti.
7. Bureau de change zipo congrolled sana, na ukienda badili pesa lazima uwe na vitambulisho halali.
8.
 
Nimependa harakati zao za maendeleo na miundombinu yao,kuna vitu vya maendeleo vya kuiga kama hivyo lakini siasa uchwara tu


Bila kuacha kukojoa barabarani tena mchana kweupe sioni raha ya maendeleo wanayopigania
 
Maleta. Jamaa angu kutoka Malawi, alikuwa anasoma Chennai, alikuwa akija likizo kwa ndg zake wa Malawi Embassy, ndio alikuwa akipenda sana safari za GB Road, basi na mimi ndio hapo nikaijua vizuri!
Wamalawi kwa papuchu...kama wamelogwa yaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba 4 nlishangaaa sana! Unaweza Ona foleni kumbe mbele Ng'ombe anakula!
 
Mkuu hapo GB ROAD nishatimba sana enzi zangu kwa miaka mitatu kufuata PAPUCHI YA KIHINDI- nilikuwa naingia namba 72 kwa jamii ya wanepal hivi, we mkuu ulikuwa na koloni room namba ngapi..tukumbushane bwa Shekhe..
Aaah! Aaah! Aaah! Wewe jamaa wewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…