Ebu mcheki alivyowakawaka
utakatifu inategemea na dini gani upo.. ulazimishwi kuamini.. kama sio mkatoliki .. na ndio maana kuna tofauti katika imani ....
Bora ya hayo kuliko angetoka tena ulaya
Hongera zake mzee Papa. Ila inabidi abadilishe dress code ya mapapa na maaaskofu. Kwa kweli uvaaji wao umepitwa na wakai
pope francis i
Hawajampa kilaini yule wa bukoba hata umakamu wa pili wa pope???
Hongera zake mzee Papa. Ila inabidi abadilishe dress code ya mapapa na maaaskofu. Kwa kweli uvaaji wao umepitwa na wakai
PAPA FRANCIS
![]()
![]()
Wamekuwa fair kuchagua nje ya Europe nimependa saaaaaaaaanaaa hiii
Naamini muda mfupi ujao tutachagua mwingine