New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!

Mwingine ni Samia Suluhu Hassan.
Huyu mama ni very powerful in Zanzibar na miongoni mwa wanawake wachache wa shoka kutoka Zanzibar. Ni Mjumbe wa CC na NEC wa CCM.
Kwa wastani wazenj hupewa wizara ngapi katika JMT, naona ule utamaduni wa wizara ya mambo ya ndani kuongozwa na wazenj umetoweka!
 
Ni kweli bwana mtoto wake alivyo-someshwa that time... yeye sio fisadi kwa sababu hayuko kwenye kambi ya JK... double standard.

Kuna watu wameitwa mafisadi bila kuwa na issue yoyote... hii ya Mark it was clear... lakini du! it depend unapendwa au hupendwi... ukipendwa lolote lile sawa.
Unasema ukweli Kasheshe Mwandosya si msafi. Ni mmoja wa walioua TTCL yetu kwa njia za kifisadi.
Ninachoweza kusema siku zote HAKUNA MSAFI ANAYEKAA MEZA MOJA NA WANA CCM. Wote wako kwenye deal moja, kulinda maslahi yao ya kifisadi.
 
Unasema ukweli Kasheshe Mwandosya si msafi. Ni mmoja wa walioua TTCL yetu kwa njia za kifisadi.
Ninachoweza kusema siku zote HAKUNA MSAFI ANAYEKAA MEZA MOJA NA WANA CCM. Wote wako kwenye deal moja, kulinda maslahi yao ya kifisadi.

ni kweli kabisa ulivyosema
 
Ni kweli bwana mtoto wake alivyo-someshwa that time... yeye sio fisadi kwa sababu hayuko kwenye kambi ya JK... double standard.

Kuna watu wameitwa mafisadi bila kuwa na issue yoyote... hii ya Mark it was clear... lakini du! it depend unapendwa au hupendwi... ukipendwa lolote lile sawa.


Mtoto wake moja nilisoma naye Ilboru miaka ile nakuambia ilikuwa njaa mbaya, alifanana na sisi watoto wa makabwela kipindi kile.
 
Mungi;

Una uhakika na hayo unayosema? Kuna mtu ccm ambaye hana harufu ya ufisadi; na huyu bwana amekuwa waziri kwa takribani miaka kumi na mitano atakosa kuwa na harufu ya ufisadi?

Nani alibinafsisha Celtel toka TTCL, ATC kwa South Africn Airways hata Utetezi wa ununuzi wa RADA bungeni alipokuwa waziri wa mawasiliano?

Je baada ya hapo bado unaweza kumlia yamini? Fanya utafiti utayajua usiyoyajua.
 
Mungi; Una uhakika na hayo unayosema? Kuna mtu ccm ambaye hana harufu ya ufisadi; na huyu bwana amekuwa waziri kwa takribani miaka kumi na mitano atakosa kuwa na harufu ya ufisadi? Nani alibinafsisha Celtel toka TTCL said:
Mchezo wa Mkapa na JK ndiyo ulioiua TTCL, ndiyo maana unaambiwa hakusaini ule mkataba wa kuuzwa kwa ttcl/celtel, badala yake alisaini katibu mkuu wizara ya mawasiliano.
 
............. RA wants EL for Primiership. As of the day b4 yesterday, Mr Six refused to be deputy PM under EL!!!
By the way, members, did Anna Makinda just ... and I mean just... woke up n decided to give speakership a shot??? nay, nay nay!! Three fisadis, RA, EL and that TICTS guy are very well entrenched in the process. the lady happens to be developing a real estate somewhere, that thing we call apartments, and as already alleged, she is in debt. Guess who came in dangling that carrot to rid of her financial burden??? Need I name. No and didnt think so. Whereas the lady had no intention to vie for that office at the beginning, she did a turncoat, went on to challenge Mr Six! her apartments would be completed minus a nagging bank loan, huge one at that.

EL, RA, That TICTS fella, et al are having quite a laugh!

Chief, wewe pamoja na wadau humu ndani are stuck in 2005 mode. Rostam has fallen out of JK, he is merely influential anymore. You guys think CCM is stupid. Chenge kapigwa chini for his record, Sitta kapigwa chini because he was dividing the party. EL will not be in this administration. The Cabinet will have a lot of young guns, and CCM will re-brand itself to meet the demands of current electorate (which is curbing corruption). That is what they do.

At the same time, they will infiltrate opposition to tear it apart. Ofkoz it is easy to do that, any party headed by Mbowe is a joke. CUF is the only threat to CCM, because they are disciplined and have an established network.

As the matter of fact, natabiri kwamba these smart young MPs, Kabwe, Mdee, January and Jussa will align themselves and work together despite the party differences. Mnyika won't, because 1) he is not independent, hana swagga 2)kibaraka wa wazee wa Chadema.
 
Kwa wastani wazenj hupewa wizara ngapi katika JMT, naona ule utamaduni wa wizara ya mambo ya ndani kuongozwa na wazenj umetoweka!
Kibunango.wizara zote za muungano, lazima ziwe na waziri na naibu waziri. Waziri akitoka bara, naibu atatoka Zanzibar.
 
PM ni mheshimiwa Pinda mwenyewe, hakuna sababu ya kumwondoa na pia hana makundi na hana nia ya kugombea urais 2015.

Prof. Tibaijuka ni wazi atapewa wizara moja muhimu.

Wabunge vijana wengi watateuliwa kuwa manaibu kama njia ya kuwaandaa kuchukua wizara kamili huko mbeleni.

Nafikiri maprofesa wetu wote watarudi ingawaje wanaweza kubadilishwa wizara, hawa ni pamoja na:

Prof. Mwandosya
Prof. Msolla
Prof. mwakyusa
prof. Kapuya

Sitegemei Masha na Marmo warudishwe bungeni kwa njia ya nafasi za rais. Ila yule mama wa Arusha nafikiri atateuliwa kuwa mbunge japo kashindwa kwenye jimbo. Sababu inaweza kuwa hakuwa mbunge wa hilo jimbo kwahiyo wananchi wake hawajamkataa kama walivyofanya kwa Masha na Marmo. Pia inaelekea ni ngumu sana kwa akina mama kushinda huko majimboni.

Kama Lowassa atataka kurudi kwenye serikali basi atapewa moja ya wizara kubwa ikiwemo wizara ya mambo ya nchi za nje. Lakini pia anaweza kuamua kuwa na influence kutokea nje.

Nafikiri Sitta atateuliwa kuwa waziri labda akatae yeye mwenyewe.

Sitegemei mabadiliko makubwa kwenye sura za baraza jipya la mawaziri ukiachia kubadili watu ambao wameangushwa kwenye chaguzi.

Pia kwasasa wanajaribu kuweka balance ili angalau kila mkoa uwe na waziri mmoja, hivyo baadhi ya watu wazuri, wanaweza kuachwa kwasababau hiyo.
 

Wanajamii,

Yaliyompata Sitta ndiyo yaliyostahili yampate! Alikuwa anajijengea himaya na utukufu wa bandia. Akiwa kiongozi wa mhimili mmoja wa dola, alikuwa anapeleka nchi pabaya – anajiona yeye na mhimili wake ni bora zaidi kuliko mihimili mingine, yaani Serikali (Utawala/Baraza la Mawaziri), na Mahakama! Wakati fulani, baada ya Rais kumaliza kulihutubia Bunge, Sitta, kwa kujiamini kwake kupita kiasi, akamkoasoa hata Rais na kumsema kuwa ni “mpole sana…na sisi (tunaojua zaidi) tuko tayari kukusaidia” Ni matamshi ambayo hayakustahili yafuatie hotuba nzuri ya Rais!
Huo unaoitwa “Ufisadi” ambao Sitta, ndani ya Bunge na watu kama Mfanyabiashara Mengi nje ya Bunge, wanajifanya ndiyo wapiganaji wake watakatifu, siyo chochote ila ni kuwasakama tu waliofanikiwa kuongoza Serikali, mwaka 2005, ikiwa ni madhila yanayotokana na genge fulani kushindwa katika kinyang’anyiro cha Urais, mwaka huo. Sitta naye alijiunga na kulisaidia gnge hilo, kiusaliti, kwa vile naye alikuwa mhanga - aliutaka Uwaziri Mkuu na akaukosa! Lilipojitokeza suala la Richmond, likasukwa katika namna ya kumsulubu Edward Lowassa, kwa kumning’iniza nalo shingoni mpaka akalazimika, kiungwana, kujiuzulu. Waliukataa hata ushahidi wake wa maandishi na hawakutaka hata kumhoji! Sitta na Mwakyembe ndiyo “authors” (watunzi) wakuu wa Ripoti ya Richmond, ambayo siyo tu ilikuwa ni uzushi, bali ni ushuzi mtupu! Hakuna uthibitisho wowote, mpaka leo hii, wa Richmond na Lowassa! Kama “Ufisadi” maana yake ni ubinafsi na ubadhirifu wa fedha za umma , basi muangalieni huyo Sitta wenu:-
· Amejipangishia nyumba, ambayo anahusika nayo, inayolipiwa na Serikali pango la USD 8,000 (sawa na Tsh. Milioni 12) kila mwezi, zikiwa ni kodi za wananchi;
· Samani ya nyumba yake ya hapo juu iligharimiwa na Serikali kwa TSh. Milioni 300;
· Amejijegea “hekalu” la Ofisi ya Mbunge Urambo, kwa gharama ya zaidi ya mara kadhaa juu ya kile kiasi kiichotengwa maalum na Serikali kwa Ofisi za aina hiyo kwa Wabunge. Alisema ni ya hadhi ya Spika, ambaye alidhani wakati wote utakuwa ni Mbunge wa Urambo, mpaka afe;
· Ana “interest” katika biashara ya kuuza nje mbao/magogo/maliasili;
· Ndiye aliyeshinikiza Wabunge kupata marupurupu manono, zaidi ya Tsh. Milioni 40 kwa kukaa Bungeni kwa miaka mitano tu, yakiwa ni mara 10 zaidi ya anayopata Profesa wa Chuo Kikuu aliyenoa bongo kwa uhakika na anayefundisha vijana wetu kwa miaka 30;
· Ameshabikia kukifarakanisha Chama chake vs Serikali na Bunge, mpaka utekelezaji wa Ilani ya CCM ukasuasua na chama hicho kupata ushindi kiduchu mwaka 2010! Alishabikia porojo za EPA, Suala la Madini, Kiwira (kwa kusaidiwa na akina Mengi na vyombo vyake vya habari na magazeti yaliyokubali kutumiwa ya akina Saed Kubenea), bila ya tija yoyote! Fitina tu!
Huyu ndiye mpiganaji wa “Ufisadi”. Tatizo letu siyo “Ufisadi”. Kwani “Mafisadi” walikuwepo enzi za Nyerere tulipokuwa tunakula sembe ya njano ya msaada wa Marekani; maduka ya kaya yasiyokuwa na kitu; foleni za kila kitu; petroli ya mgao; idadi kiduchu ya vijana wanaopata elimu ya juu (ndiyo maana tukawa tunasaidiwa kusoma bure Urusi, Uchina, Cuba na nchi za kijamaa za Ulaya Mashariki); uchumi uliokuwa hasi wa – 2%; mfumuko wa bei wa 35%; sigara inayouzwa kwa mkupuo; bia ya ya kibali n.k.?

Bwassa
 
Shukuru Kawambwa (hata kama ataunda baraza la wizara tatu)

Tibaijuka ni mzee mno, halafu mbishi. Ila anaweza kupewa wizara ya pembezoni
 
sofia simba ana uhakika wa kurudi

kikwete anahitaji ku strike the right balance kati ya pro lowasa na wale ambao wako against lowasa na ambao wanaweza kugombea 2010. I would like membe, mwandosya, tibaijuka na magufuli kupewa wizara nyeti ili wawe constant threat to almighty EL.
 
Back
Top Bottom