BENJAMIN NETANYAHU aweka mstari mwekundu kwa Hamas na Iran

BENJAMIN NETANYAHU aweka mstari mwekundu kwa Hamas na Iran

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,000
Reaction score
7,618
🚨 WAZIRI MKUU NETANYAHU: aweka mstari mwekundu kwa Hamas na Iran.

Akizungumza katika kikao cha bunge, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alielezea msimamo wa Israeli kwa maneno yasiyopingika:

• Wanajeshi wa Uturuki au Qatar hawatakanyaga Gaza
• Katika awamu ya pili, Hamas itanyang'anywa silaha na Gaza itaondolewa kijeshi, iwe kwa njia rahisi au kwa njia ngumu
• Ikiwa Iran itashambulia Israeli, Israeli itajibu kwa nguvu ambayo Iran haijawahi kuijua au kufikiri a.
• Kaihakikishia Iran haitarudi katika Hali ilivyokuwa hapo awali
.
IMG_4789.jpeg
IMG_4071.jpeg
 
Wavaa mashuka na misuli haja zote zinawatoka kwa wakati Mmoja baada ya kusikia hii taarifa
 
🚨 WAZIRI MKUU NETANYAHU: aweka mstari mwekundu kwa Hamas na Iran.

Akizungumza katika kikao cha bunge, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alielezea msimamo wa Israeli kwa maneno yasiyopingika:

• Wanajeshi wa Uturuki au Qatar hawatakanyaga Gaza
• Katika awamu ya pili, Hamas itanyang'anywa silaha na Gaza itaondolewa kijeshi, iwe kwa njia rahisi au kwa njia ngumu
• Ikiwa Iran itashambulia Israeli, Israeli itajibu kwa nguvu ambayo Iran haijawahi kuijua au kufikiri a.
• Kaihakikishia Iran haitarudi katika Hali ilivyokuwa hapo awali
.View attachment 3531912View attachment 3531913
Mwamba wa Dunia
 
🚨 WAZIRI MKUU NETANYAHU: aweka mstari mwekundu kwa Hamas na Iran.

Akizungumza katika kikao cha bunge, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alielezea msimamo wa Israeli kwa maneno yasiyopingika:

• Wanajeshi wa Uturuki au Qatar hawatakanyaga Gaza
• Katika awamu ya pili, Hamas itanyang'anywa silaha na Gaza itaondolewa kijeshi, iwe kwa njia rahisi au kwa njia ngumu
• Ikiwa Iran itashambulia Israeli, Israeli itajibu kwa nguvu ambayo Iran haijawahi kuijua au kufikiri a.
• Kaihakikishia Iran haitarudi katika Hali ilivyokuwa hapo awali
.View attachment 3531912View attachment 3531913
Netanyahu aendelee na kesi
 
Ahadi isiyopingika na ni suala la muda tu...


Kizazi za kiyahudi kitafutiliwa mbali katika uso wa dunia.

Qiyama hakitasimama mpaka pale Waislam watakapopigana vita kubwa ya dunia dhidi ya Wayahudi.

Kukusanywa kwa wayahudi katika ardhi ya Palestine ni moja ya mipango ya Mungu katika kukifutilia mbali hiki kizazi cha jamii ya watu waharibifu hapa duniani.

Sahih Bukhar

'
Narrated Abu Huraira:
Allah's Messenger (ﷺ) said, "The Hour will not be established until you fight with the Jews, and the stone behind which a Jew will be hiding will say. "O Muslim! There is a Jew hiding behind me, so kill him."
 
Ahadi isiyopingika na ni suala la muda tu...


Kizazi za kiyahudi kitafutiliwa mbali katika uso wa dunia.

Qiyama hakitasimama mpaka pale Waislam watakapopigana vita kubwa ya dunia dhidi ya Wayahudi.

Kukusanywa kwa wayahudi katika ardhi ya Palestine ni moja ya mipango ya Mungu katika kukifutilia mbali hiki kizazi cha jamii ya watu waharibifu hapa duniani.

Sahih Bukhar

'
Narrated Abu Huraira:
Allah's Messenger (ﷺ) said, "The Hour will not be established until you fight with the Jews, and the stone behind which a Jew will be hiding will say. "O Muslim! There is a Jew hiding behind me, so kill him."
NONSENSE
 
Sikiliza wewe Yahudi mweusi wa Nzega,huyo jamaa yako hawezi hata kutupa Jiwe bila ruhusa ya Mfadhili wake.
Ungejibu swali ungeonekana wa maana lakini cha ajabu umeshindwa kujibu na umeanza kubwabwaja jibu swali!!!

Kwani magaidi wa Hamad,Hezbollah na Houth mfadhili wao ni nani? Kila mtu ana mfadhili hata wewe hapo Mfadhili wako ni ni mimi ninayekuweka mjini!!
 
Ahadi isiyopingika na ni suala la muda tu...


Kizazi za kiyahudi kitafutiliwa mbali katika uso wa dunia.

Qiyama hakitasimama mpaka pale Waislam watakapopigana vita kubwa ya dunia dhidi ya Wayahudi.

Kukusanywa kwa wayahudi katika ardhi ya Palestine ni moja ya mipango ya Mungu katika kukifutilia mbali hiki kizazi cha jamii ya watu waharibifu hapa duniani.

Sahih Bukhar

'
Narrated Abu Huraira:
Allah's Messenger (ﷺ) said, "The Hour will not be established until you fight with the Jews, and the stone behind which a Jew will be hiding will say. "O Muslim! There is a Jew hiding behind me, so kill him."
Naona leo umelala bila kuchamba!!

Akili matope kama hizi ndizo zinazowafanya waarabu waendelee kupigwa kama ngoma na Israel!!!!
 
Ungejibu swali ungeonekana wa maana lakini cha ajabu umeshindwa kujibu na umeanza kubwabwaja jibu swali!!!

Kwani magaidi wa Hamad,Hezbollah na Houth mfadhili wao ni nani? Kila mtu ana mfadhili hata wewe hapo Mfadhili wako ni ni mimi ninayekuweka mjini!!
Wewe ni wakuonewa huruma tu,unaonekana maisha yamekuchanganya sana.
Tunaongelea nchi kisha wewe unatoa mifano ya vikundi! hivi una elimu gani?
 
Now middle east angalau kuna utulivu tule tuvikundi kundi kama hamas, hezbollah, houths kwaheri huwa nashndwa kuelewa hivi uislam ni dini au ni harakati za ksiasa? Kwamba wanapganaga kueneza dini au utawala, kwan uislam hauwez kuenezwa kwa njia ya amani mpk watu wauwawe, watu waingie mstuni, watu wachinjwe, damu imwagike, serikali halali ipinduliwe, watu walazmishwe kuslimu nk, mtu aslete hoja za marekani au ulaya wanapovamia nchi nyngn mfano libya, iraq, iran nk kwmb lengo ni kueneza dini au ukristo wazungu wanapgania maslahi ya mataifa yao wanaona mbele miaka 100 wakvamia ujue huko kuna raslimali wanataka si dini, marekani alimpndua sadam hussein je raia walilazmishwa kubatizwa? Libya raia walilazmishwa kubatizwa? JE VENEZUELA nako raia wanabatizwa?
 
Mlituaminisha Iran ya Ayatollah ingeanguka kwenye maandamano ya siku chache zilizopita! Tena mpaka Trump aliahidi kuishambulia Iran kama sehemu ya kuwaunga mkono waandamanaji!

Cha kushangaza hakuna kilichotokea! Na badala yake mnatuletea mikwara ya Waziri Mkuu Benjamini Netanyahu!! Wayahudi na Wamarekani, ufafanuzi tafadhali.
 
Back
Top Bottom