Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 9,000
- 7,618
🚨 WAZIRI MKUU NETANYAHU: aweka mstari mwekundu kwa Hamas na Iran.
Akizungumza katika kikao cha bunge, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alielezea msimamo wa Israeli kwa maneno yasiyopingika:
• Wanajeshi wa Uturuki au Qatar hawatakanyaga Gaza
• Katika awamu ya pili, Hamas itanyang'anywa silaha na Gaza itaondolewa kijeshi, iwe kwa njia rahisi au kwa njia ngumu
• Ikiwa Iran itashambulia Israeli, Israeli itajibu kwa nguvu ambayo Iran haijawahi kuijua au kufikiri a.
• Kaihakikishia Iran haitarudi katika Hali ilivyokuwa hapo awali
.
Akizungumza katika kikao cha bunge, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alielezea msimamo wa Israeli kwa maneno yasiyopingika:
• Wanajeshi wa Uturuki au Qatar hawatakanyaga Gaza
• Katika awamu ya pili, Hamas itanyang'anywa silaha na Gaza itaondolewa kijeshi, iwe kwa njia rahisi au kwa njia ngumu
• Ikiwa Iran itashambulia Israeli, Israeli itajibu kwa nguvu ambayo Iran haijawahi kuijua au kufikiri a.
• Kaihakikishia Iran haitarudi katika Hali ilivyokuwa hapo awali
.