To yeye
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 20,188
- 37,750
Amina AminaMungu akusimamie na kukufanyia wepesi katika kutimiza mambo yako.
Amina AminaMungu akusimamie na kukufanyia wepesi katika kutimiza mambo yako.
Halafu unakuta anakoroma kabisa 😂Mimi nakwambia tu SINA mwanangu ukinichukia powa tuu habari za kudaiana siwezi. Huwa sipendi kukopa pia.
Kuna watu wana mioyo migumu asee, unakuta simu ya mkopo, bodaboda ya mkopo, songesha mkopo, timiza mkopo, mtaani mikopo hivi mnawezaje hizi stress
Namshukuru Mungu niko poa, umeadimika humuNi poa kabisa kabisa, waendeleaje?
Nitarudi rasmi mkuu, nashukuru kwa kuwa u mzimaNamshukuru Mungu niko poa, umeadimika humu
Unaweza pasuka ila mabingwa wapo na hawawaziMimi nakwambia tu SINA mwanangu ukinichukia powa tuu habari za kudaiana siwezi. Huwa sipendi kukopa pia.
Kuna watu wana mioyo migumu asee, unakuta simu ya mkopo, bodaboda ya mkopo, songesha mkopo, timiza mkopo, mtaani mikopo hivi mnawezaje hizi stress
Nakazia hapa 🛠️MTU akikuomba na yupo katika shida endelevu usimpe pesa Ila mtafutie fursa ambayo atapata hiyo pesa na kuendesha Maisha yake.
Na ukimkopa MTU hakikisha upo tayari kuipoteza hiyo hela.
Ndugu , marafiki wa karibu hao usieakopeshe hela kabisa give them for free or say no .
Ulifanya vizuri sanaUtaratibu wangu mimi ni huwa sikopi kwa mtu, wala kukopeshwa na mtu,kwa sababu huwa inapelekea urafiki kufa kabisa huko mbeleni,mimi huwa nanuna na mambo yangu mpka natatua changamoto zangu mwenyewe
Neno sina linamaliza kabisa utata japo huonekana kuwa ni lakikatiri sana unapomjibu mtu anaekuomba pesa ila niamini mimi ni neno lenye msaada mkubwa sana kwako ukilitumia,mtu hawezi kukuhoji asa kwanini huna hela na wakati na yeye mda huo hana hela pia ndio mana kakufata wewe.
Kuna jamaa kanisumbua sana 30k yangu hataki kunilipa,Kazi tunafanya ni Moja,ugumu wa kupata hela anaujua..ila akawa anajifanya mjanja...siwakaanzisha mchezo afu wakanichagua niwe nawawekea hela linapofika jina nampa anaepokea kwa kuwa wananiamini...nikasema hapa hapa na fyeka na hela yangu ilipofika zamu yake.
Alilalamika.,,,Kuna watu wanajua kulalamika aisee.
Mfano kama wewe uwe na nyege zako zimejaa kichupa halafu atokee mtu unayemuelewa akaomba akukune, unawezaje kusema NO ?Learn to say 'NO'
Huu msemo nao,unaweza kukosa mengi😋
Sahihi kabisa...nilikuwa na rafiki mpaka ikafikia watu kujua sisi ni ndugu kwa kudai tunafanana....50k tu imefanya hata sasa hajui nilipo nami sijui alipo,mana nilimkumbusha mara tatu tu,akaona akate na mawasiliano kabisa....😅Utaratibu wangu mimi ni huwa sikopi kwa mtu, wala kukopeshwa na mtu,kwa sababu huwa inapelekea urafiki kufa kabisa huko mbeleni,mimi huwa nanuna na mambo yangu mpka natatua changamoto zangu mwenyewe
Neno sina linamaliza kabisa utata japo huonekana kuwa ni lakikatiri sana unapomjibu mtu anaekuomba pesa ila niamini mimi ni neno lenye msaada mkubwa sana kwako ukilitumia,mtu hawezi kukuhoji asa kwanini huna hela na wakati na yeye mda huo hana hela pia ndio mana kakufata wewe.
Kuna jamaa kanisumbua sana 30k yangu hataki kunilipa,Kazi tunafanya ni Moja,ugumu wa kupata hela anaujua..ila akawa anajifanya mjanja...siwakaanzisha mchezo afu wakanichagua niwe nawawekea hela linapofika jina nampa anaepokea kwa kuwa wananiamini...nikasema hapa hapa na fyeka na hela yangu ilipofika zamu yake.
Alilalamika.,,,Kuna watu wanajua kulalamika aisee.
Halafu anayo rungu kipepepe😋Mfano kama wewe uwe na nyege zako zimejaa kichupa halafu atokee mtu unayemuelewa akaomba akukune, unawezaje kusema NO ?
SafiiiUtaratibu wangu mimi ni huwa sikopi kwa mtu, wala kukopeshwa na mtu,kwa sababu huwa inapelekea urafiki kufa kabisa huko mbeleni,mimi huwa nanuna na mambo yangu mpka natatua changamoto zangu mwenyewe
Neno sina linamaliza kabisa utata japo huonekana kuwa ni lakikatiri sana unapomjibu mtu anaekuomba pesa ila niamini mimi ni neno lenye msaada mkubwa sana kwako ukilitumia,mtu hawezi kukuhoji asa kwanini huna hela na wakati na yeye mda huo hana hela pia ndio mana kakufata wewe.
Kuna jamaa kanisumbua sana 30k yangu hataki kunilipa,Kazi tunafanya ni Moja,ugumu wa kupata hela anaujua..ila akawa anajifanya mjanja...siwakaanzisha mchezo afu wakanichagua niwe nawawekea hela linapofika jina nampa anaepokea kwa kuwa wananiamini...nikasema hapa hapa na fyeka na hela yangu ilipofika zamu yake.
Alilalamika.,,,Kuna watu wanajua kulalamika aisee.