Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 664
Kwa wale ambao mpo online sahizi, hivi hili neno "nachelea" maana yake nini hasa na linatumikaje kwenye sentensi?
Nathubutu kusema, Naazimia kusema! Hivo naelewa mm.Kwa wale ambao mpo online sahizi, hivi hili neno "nachelea" maana yake nini hasa na linatumikaje kwenye sentensi?
Chelea- kuogopa, kusita
Mfano wake ni kama nachelea kuwaambia kuwa jambo hili lina athari kubwa kuliko muanavyo..
Thanks nimeelewaChelea- kuogopa, kusita
Mfano wake ni kama nachelea kuwaambia kuwa jambo hili lina athari kubwa kuliko muonavyo.
Ni kitangulizi cha kitoa taarifa mbaya.
Kizungu chake ni 'iam afraid to tell you that was not proper medication for your illiness.'
👍Yes ...nachelea kusema.
Ni Sawa na kusema ..nasikitika kusema
Au inaniogopesha kusema
Au Kwa moyo mzito nasema...
Mar'haba KiingerezaShikamoo Kiswahili
Chelea- kuogopa, kusita
Mfano wake ni kama nachelea kuwaambia kuwa jambo hili lina athari kubwa kuliko muonavyo.
Ni kitangulizi cha kitoa taarifa mbaya.
Kizungu chake ni 'iam afraid to tell you that was not proper medication for your illiness.'
Chelea- kuogopa, kusita
Mfano wake ni kama nachelea kuwaambia kuwa jambo hili lina athari kubwa kuliko muonavyo.
Ni kitangulizi cha kitoa taarifa mbaya.
Kizungu chake ni 'iam afraid to tell you that was not proper medication for your illiness.'
Swadaktaa.Chelea- kuogopa, kusita
Mfano wake ni kama nachelea kuwaambia kuwa jambo hili lina athari kubwa kuliko muonavyo.
Ni kitangulizi cha kitoa taarifa mbaya.
Kizungu chake ni 'iam afraid to tell you that was not proper medication for your illiness.'
Swadaktaa.Chelea- kuogopa, kusita
Mfano wake ni kama nachelea kuwaambia kuwa jambo hili lina athari kubwa kuliko muonavyo.
Ni kitangulizi cha kitoa taarifa mbaya.
Kizungu chake ni 'iam afraid to tell you that was not proper medication for your illiness.'
Siyo kila eneo inafiti. Mfano "kuona cha moto" means kupata pigo ama maumivu makali. Lakini siyo sahihi kusema: "Ajali imetokea na abiri watatu wameona cha moto." Utakuwa ujahili uliokithiri!Nachelea, naogopa???. Mfano, Sipiti njia hii nachelea kuliwa na Simba???
Kuna msanii alikua anaitwa chelea man. ...
Sijui alikuwa anamuogopa chelea pina
Siyo kila eneo inafiti. Mfano "kuona cha moto" means kupata pigo ama maumivu makali. Lakini siyo sahihi kusema: "Ajali imetokea na abiri watatu wameona cha moto." Utakuwa ujahili uliokithiri!
Hamna rangi utaacha ona AuKwa wale ambao mpo online sahizi, hivi hili neno "nachelea" maana yake nini hasa na linatumikaje kwenye sentensi?