Neno la Shukrani

TO GOD BE THE GLORY..

NJIA YETU NI MOJA,TUZIDI KUOMBEANA MEMA... MUNGU AKUJALIE MEMA MKUU
 
Mungu akupe moyo wa amani na imani....Amina.
 
Pole sana Bro! nakutakia utulivu na nguvu kwenye wakati huu mgumu.
 
Mungu aendelee kukupa nguvu braza Mshana.

Pole sana Hakuna jipya chini ya Jua na maisha ya mwanadamu siku zote ni Ubatili mtupu Mungu awatie nguvu ktk wakati huu mgumu

Aaamen asanteni sana
 
Duu pole sana kwa ban! Viungo vya mwanamke mjamzito hutumika kama malighafi kwenye mambo ya kishirikina
 
Pole sana mkuu,
Mimi binafsi sijawahi kukutana na huyu mkuu mshana Jr physically but sometimes spiritually we do connect we do meet actually.
You are strong spiritually, so you're strong physically. As within so it is without.
 
Amevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo ameumaliza na Imani ameilinda. Apumzike kwa amani mama
 
Duu pole sana kwa ban! Viungo vya mwanamke mjamzito hutumika kama malighafi kwenye mambo ya kishirikina
Aiseee basi ni hatari inabidi kuilinda maiti mochwari kumbe maana mortuary attendant wanakula sana hizi deal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…