Neno la Shukrani

Neno la Shukrani

View attachment 496726

Nina deni na wana JF! Si deni Lingine bali deni la Shukrani.... Shukrani ya mshikamano mkubwa mlioninyesha katika kipindi kigumu cha kuondokewa na mama yangu mzazi.

Si kwa kikubwa wala kidogo kwa vipimo vya viwango vya kibinadamu, bali kwa ule moyo mlioninyesha kwa pm, posts za Faraja na kutia moyo na hata kufariji kwenye makala ile ya ndugu yangu Ambiere kivyele na hata wale walionitumia chochote.

Kwa umoja wenu na kwa pamoja nasema asanteni sana,Mama amevua mwili uharibikao na kuvaa mwili uishio milele, Amevua mwili wa asili na kuvaa mwili wa kiroho, amefaulu mtihani wake na sasa hana maumivu tena.

Maisha ya mwanadamu ni miaka 70 akiwa na nguvu ni miaka 80 na kuishi ni faida lakini kufa ni Kristo na Kristo ni ushindi..Mama ameshinda vita hii na amepumzika kwa amani.

Asante tena na tena na tena sina neno bora zaidi la kuonyesha unyenyekevu mkubwa kwenye hili

Jr...!
Daa,,,pole sana ndugu yangu mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mama yetu
 
View attachment 496726

Nina deni na wana JF! Si deni Lingine bali deni la Shukrani.... Shukrani ya mshikamano mkubwa mlioninyesha katika kipindi kigumu cha kuondokewa na mama yangu mzazi.

Si kwa kikubwa wala kidogo kwa vipimo vya viwango vya kibinadamu, bali kwa ule moyo mlioninyesha kwa pm, posts za Faraja na kutia moyo na hata kufariji kwenye makala ile ya ndugu yangu Ambiere kivyele na hata wale walionitumia chochote.

Kwa umoja wenu na kwa pamoja nasema asanteni sana,Mama amevua mwili uharibikao na kuvaa mwili uishio milele, Amevua mwili wa asili na kuvaa mwili wa kiroho, amefaulu mtihani wake na sasa hana maumivu tena.

Maisha ya mwanadamu ni miaka 70 akiwa na nguvu ni miaka 80 na kuishi ni faida lakini kufa ni Kristo na Kristo ni ushindi..Mama ameshinda vita hii na amepumzika kwa amani.

Asante tena na tena na tena sina neno bora zaidi la kuonyesha unyenyekevu mkubwa kwenye hili

Jr...!
Pole sana Ndugu....!!Dunia hii ni mapito,sote tupo njia moja....
 
View attachment 496726

Nina deni na wana JF! Si deni Lingine bali deni la Shukrani.... Shukrani ya mshikamano mkubwa mlioninyesha katika kipindi kigumu cha kuondokewa na mama yangu mzazi.

Si kwa kikubwa wala kidogo kwa vipimo vya viwango vya kibinadamu, bali kwa ule moyo mlioninyesha kwa pm, posts za Faraja na kutia moyo na hata kufariji kwenye makala ile ya ndugu yangu Ambiere kivyele na hata wale walionitumia chochote.

Kwa umoja wenu na kwa pamoja nasema asanteni sana,Mama amevua mwili uharibikao na kuvaa mwili uishio milele, Amevua mwili wa asili na kuvaa mwili wa kiroho, amefaulu mtihani wake na sasa hana maumivu tena.

Maisha ya mwanadamu ni miaka 70 akiwa na nguvu ni miaka 80 na kuishi ni faida lakini kufa ni Kristo na Kristo ni ushindi..Mama ameshinda vita hii na amepumzika kwa amani.

Asante tena na tena na tena sina neno bora zaidi la kuonyesha unyenyekevu mkubwa kwenye hili

Jr...!
Amen
 
Pole sana mkuu,mwenyezi Mungu aendelee kukutia nguvu katika kipindi hiki kigumu.
 
View attachment 496726

Nina deni na wana JF! Si deni Lingine bali deni la Shukrani.... Shukrani ya mshikamano mkubwa mlioninyesha katika kipindi kigumu cha kuondokewa na mama yangu mzazi.

Si kwa kikubwa wala kidogo kwa vipimo vya viwango vya kibinadamu, bali kwa ule moyo mlioninyesha kwa pm, posts za Faraja na kutia moyo na hata kufariji kwenye makala ile ya ndugu yangu Ambiere kivyele na hata wale walionitumia chochote.

Kwa umoja wenu na kwa pamoja nasema asanteni sana,Mama amevua mwili uharibikao na kuvaa mwili uishio milele, Amevua mwili wa asili na kuvaa mwili wa kiroho, amefaulu mtihani wake na sasa hana maumivu tena.

Maisha ya mwanadamu ni miaka 70 akiwa na nguvu ni miaka 80 na kuishi ni faida lakini kufa ni Kristo na Kristo ni ushindi..Mama ameshinda vita hii na amepumzika kwa amani.

Asante tena na tena na tena sina neno bora zaidi la kuonyesha unyenyekevu mkubwa kwenye hili

Jr...!
Amen!
 
Pole mkuu mshana kwa kumpoteza mama

Najua ni jinsi gani uwepo wa mama unavyochochea mtu kujituma zaidi

Mungu akupe ujasiri, akupe uvumilivi, akupe subra, akuepushe na mawazo potofu

Uwe imara, tuenndelee kuipamba dunia ambayo siku moja itatutafuna

Song for you

THIS World is not our home...
 
Pole Sana Mshana, Mwenyezi Mungu Awape Moyo Wa Ujasiri Na Uvumilivu Katika Kipindi Hiki Kigumu Kwenu, May Her Soul Rest In Peace
 
Pole Sana Mshana, Mwenyezi Mungu Awape Moyo Wa Ujasiri Na Uvumilivu Katika Kipindi Hiki Kigumu Kwenu, May Her Soul Rest In Peace
Asanteni sana
Pole mkuu mshana kwa kumpoteza mama

Najua ni jinsi gani uwepo wa mama unavyochochea mtu kujituma zaidi

Mungu akupe ujasiri, akupe uvumilivi, akupe subra, akuepushe na mawazo potofu

Uwe imara, tuenndelee kuipamba dunia ambayo siku moja itatutafuna

Song for you

THIS World is not our home...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Pole sana Mkuu mshana jr. May God rest our beloved mother's soul in eternal peace.
 
Amin umepoteza kitu kikubwa mnoo brother, lakini yote ni mipango ya Mungu,,, pumzika kwa amani mama yetu
 
Pole sana kaka,
Mama tulimpenda ila mungu kampenda zaidi,
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
 
Back
Top Bottom