Neno la Shukrani

Neno la Shukrani

Katu mwenyezi Mungu asikupungukie kamanda najua msiba wa mama una maumivu yasiyoisha.
Mungu akupe wepesi pole sana mkuu. Tuko pamoja.
 
Tutaendelea kumkumbuka katika maombi. Pole toka kwa ndugu wote unaojua wanakufahamu upande huu. Bado wanatafakari ile post yako ya mwisho ya Meditation nadhani na wewe itakusaidia kipindi hiki.
Amina dada Shikamoo na Asantesana japo ni ngumu kukizoea kifo hasa cha mzazi lakini nilisimama imara
 
Mwenyezi Mungu akutie nguvu katka kpnd hk chote... Pole saana kwa kuondokewa na mama!
 
Pole sana Hakuna jipya chini ya Jua na maisha ya mwanadamu siku zote ni Ubatili mtupu Mungu awatie nguvu ktk wakati huu mgumu
 
Mbele yetu yeye nyuma yake sisi pumumzika Kwa amani mama sisi sote niwapitji tonatofautiana tarehe tu ,Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.R.I.P mama mshana.....pole sana kaka mshana nakuombea ustahmilivu Kwa kipindi chote hiki cha majonzi........amina
 
Msiba wa MAMA ulipelekea kwa Mara ya kwanza kupewa bonge LA BANN ya siku4 maana niliandika comment ya mzaha nikijua ni ule ule utani na maneno yako ya kichawi kichawi Ila nilipogundua ni ukweli niliumia sana aiseee pole Sana Jamaa angu ila tukio LA msiba na Mimi linabaki kama kumbukumbu kwangu toka nirudi upya Hapa JF nilikuwa sijapigwa Bann ni kama mods walikuwa wananiwinda aisee haikupita hata Dk5 nikaona Banned daaaa noma sana Karibu tena mkuu Nakuomba uje unieleza Viungo vya siri vya mwanamke aliyefariki na ujauzito vinatumika ktk upande gani wa mambo ya Ulozi????
 
Pole sana mkuu,
Mimi binafsi sijawahi kukutana na huyu mkuu mshana Jr physically but sometimes spiritually we do connect we do meet actually.
You are strong spiritually, so you're strong physically. As within so it is without.
 
Pole saana ndugu Mshana jr. May her soul rejoice in peace.
 
Back
Top Bottom