Nenda zako mshamba wewe! Acha wajanja waje

Nenda zako mshamba wewe! Acha wajanja waje

Ushamba ni relative term. Kwahiyo inategemea unanilinganisha na nani, mwenye kifungo kipi kichwani kwake kilichosababishwa na mazingira aliyokulia.

Hata mmasai MTU anayekula samaki/kuku anamuona mshamba. Mwanamke wa kikurya aliyekeketwa anamwona asiyekeketwa ni mshamba. Kwahiyo hili neno mshamba halinipi shida mm.
Kwanzaa bora umemuachaaa asepeee zakee maana yawezekanaa ulipooo hujifaham ndoo maana ukafany ya kufanyaaa
 
we wish him luck in finding the
Me too.
hushauriki?
Nashaurika sana tu. Ila huwa nahoji kwanza ushairi kabla ya kuupokea.
Urembo wako, uzuri wako umuonyeshe nani zaidi ya mume wako mtarajiwa?
Kosa ni kuonyesha sehemu za siri na siyo kuonyesha urembo. Matiti siyo sehemu za siri. Angalia asili ya mwafrika, angalia baadhi ya tamaduni za waafrika walio wengi hadi leo. Wamang'ati, wamasai, waswat (wa Swaziland), wabotswana walio wengi. Naomba maelezo ya kina juu ya hili.
Once my husband told me, that a man in a woman's life, guides her, protects her and and maintains her image in society.
Kwa kufanya hivi tuna-promote mfumo dume. Tunamfanya mwanamke kuwa chombo cha kumfurahisha mume, mwanamke kiumbe dhaifu eti mpk kilindwe, kielekezwe halafu kimpe heshima mumewe kwenye jamii. Kama sina mpango wa kuwa na mume??
Nakupa pole, na yeye namwambia big up. Good riddance and better luck next time.
To hell. I don't care!
 
Kumbuka umri unaenda....
Sasa hili lina uajabu gani? Kila mtu umri unaongezeka kila iitwayo Leo.
Sasa mm ulitaka nisimamishe umri wangu. Au ulitaka kumaanisha nini na hii tahadhari yako??
 
Me too.

Nashaurika sana tu. Ila huwa nahoji kwanza ushairi kabla ya kuupokea.

Kosa ni kuonyesha sehemu za siri na siyo kuonyesha urembo. Matiti siyo sehemu za siri. Angalia asili ya mwafrika, angalia baadhi ya tamaduni za waafrika walio wengi hadi leo. Wamang'ati, wamasai, waswat (wa Swaziland), wabotswana walio wengi. Naomba maelezo ya kina juu ya hili.

Kwa kufanya hivi tuna-promote mfumo dume. Tunamfanya mwanamke kuwa chombo cha kumfurahisha mume, mwanamke kiumbe dhaifu eti mpk kilindwe, kielekezwe halafu kimpe heshima mumewe kwenye jamii. Kama sina mpango wa kuwa na mume??

To hell. I don't care!

Yeah, time will tell
Me too.

Nashaurika sana tu. Ila huwa nahoji kwanza ushairi kabla ya kuupokea.

Kosa ni kuonyesha sehemu za siri na siyo kuonyesha urembo. Matiti siyo sehemu za siri. Angalia asili ya mwafrika, angalia baadhi ya tamaduni za waafrika walio wengi hadi leo. Wamang'ati, wamasai, waswat (wa Swaziland), wabotswana walio wengi. Naomba maelezo ya kina juu ya hili.

Kwa kufanya hivi tuna-promote mfumo dume. Tunamfanya mwanamke kuwa chombo cha kumfurahisha mume, mwanamke kiumbe dhaifu eti mpk kilindwe, kielekezwe halafu kimpe heshima mumewe kwenye jamii. Kama sina mpango wa kuwa na mume??

To hell. I don't care!
Its an invitation to treat.

You don't care but if you play your cards right its fine.

If you don't..... regrets will come flooding and you gonna miss him af.
 
Hakuna hoja yoyote ya mtu kuondoka nayo ktk maoni yako. Sana sana naona lugha ya kuudhi tu. Ungeeleweka vizuri kama ungenipinga kwa hoja
wewe ni hayawani kabisa yaani mpenzi wako anakwambia hayo sio maadili mazuri kwa watu walio serious kwenye mahusiano wewe unamuita majina yte ya kitaahira eti wewe ndo civilized?!!.. ningekuwa mimi ningekukata hilo titi
 
Sijui kama utaudhika sana na mchango wangu, ila kwa kumbkumbu umesema mliahidiana kuoana. Kama ndivyo, basi baadhi ya maungo yako yalibaki Mali ya huyo bwana na yanalindwa na ahadi yenu ya kuoana. Baadhi ya sehemu hizo muhimu kabisa ni hiyo sehemu ambayo we uliacha wazi. Wanaume wengi wakiwemo hata hao uliowaita wajanja hawapendi kila sehemu ya mwili uwe exposed kwa kila mtu. Nafikiri umeenda haraka kumblock, na kumblacklist, mnyausi huyu amestuka kuona kwa hali hiyo huenda ahadi yenu isitimie kwa kumwongezea competition, kwani kwa kuanika hivyo umeongeza wagombea.
Ushauri:
Mwondolee hicho kifungo haraka kwani ana lengo zuri hasa ukizingatia aliahidi kukuoa. Yuko sahihi.
 
You are lucky at least he talks to you.. Kwa ninaowafahamu.mie.. Ungekuwa hospitalini..

BTW.. Relationship ni kusaidiana kuwekana sawa.. Alichokuwa anafanya ni kukutunzia heshima yako..

Note: watu masikini na washamba na Malaya hoehae ndio walikuwa wanavaa uchi uchi.. Ladies..women of status in all cultures walivaa na wanavaa vizuri(sio uchi uchi)..usijilaghai na historia waliyoandika wazungu.. Na pop culture mnayoenda nayo huko instagram!
 
farasi uliyempanda hakutishi mwendo !

baada ya kumfuta kwa sana tu ndio unamuona mshamba ?
 
Yeah, time will tell

Its an invitation to treat.

You don't care but if you play your cards right its fine.

If you don't..... regrets will come flooding and you gonna miss him af.
The guy is very explosive, he over reacted for a trivial issue. So I don't think that can regret his departure from my life. By the way, I'm the one who kicked him out of my heart.
 
Once you're excited, please don't dare to make any decision coz to what I see, seems you went far beyond consciousness, please may you get some pace of thought? Briefly what you committed is above the degree of tolerance to most of us men, myself inclusive!!
 
Sijui kama utaudhika sana na mchango wangu, ila kwa kumbkumbu umesema mliahidiana kuoana. Kama ndivyo, basi baadhi ya maungo yako yalibaki Mali ya huyo bwana na yanalindwa na ahadi yenu ya kuoana. Baadhi ya sehemu hizo muhimu kabisa ni hiyo sehemu ambayo we uliacha wazi. Wanaume wengi wakiwemo hata hao uliowaita wajanja hawapendi kila sehemu ya mwili uwe exposed kwa kila mtu. Nafikiri umeenda haraka kumblock, na kumblacklist, mnyausi huyu amestuka kuona kwa hali hiyo huenda ahadi yenu isitimie kwa kumwongezea competition, kwani kwa kuanika hivyo umeongeza wagombea.
Ushauri:
Mwondolee hicho kifungo haraka kwani ana lengo zuri hasa ukizingatia aliahidi kukuoa. Yuko sahihi.
Namna alivyolipokea na kulishughulikia suala lenyewe hata kama hakulipenda kiasi gani amenikwaza sana. Nami nimestuka nimeona siyo mume bora. Ukubwani ataniletea ugonjwa wa moyo
 
Namna alivyolipokea na kulishughulikia suala lenyewe hata kama hakulipenda kiasi gani amenikwaza sana. Nami nimestuka nimeona siyo mume bora. Ukubwani ataniletea ugonjwa wa moyo
Yuko vizuri kwenye mahusiano wivu ni sehemu ya upendo
 
Briefly what you committed is above the degree of tolerance to most of us men, myself inclusive!!
One of the good qualities most women are looking for from a man is ability to handle a problem (or any frustrating situation). This man lacks that quality, hence I decided to kick him out before its too late
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom