Kupenda na kutamani, ni vitu viwili tofauti.Mpaka udanganywe kuna kituHata mm nmemuacha mkolomoje juzi juzi, alinidanganya kuwa hana Mtoto...kila siku lazima atume pesa kwao Mara Elfu 5 mda mwingine 10 akidai anamtumia bibi yake hali mbaya kwao, Nmeamua kufuatilia nikagundua na kuambiwa aliacha watoto watatu kila mmoja na baba yake alafu hao wazazi hakuna anayehudumia. Nami nimemuacha ghafla tena kikabe km afanyavyo JPM... Nasikia kwa jiran amerudi kwao kolomije...sina habar naye...acha kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe...wakolomije buana!!
Leo hii ndo umegundua aliletwa na tcu baada ya kumaliza bumu lake
umetisha
Huyu jike bwege kabisa![]()
![]()
umetisha
Love yuMmh. Mbona yuko sahihi Mkolomije wa watu sababu nyo**o ni mali yake na yeye ndio muhusika wa kuliona sasa kwa nini na wengine walione.
Kama ni kweli umemuonea Mkolomije wa watu sababu siku zote mtu chake bana labda kama we cha wote.
Hakika we mwanamke unajitambua,natamani nikuone nivunje ukimya,wadada wa sasa hv bhana,hapo kaanza na nyonyo mwisho utashuka hadi katikati,Mmh. Mbona yuko sahihi Mkolomije wa watu sababu nyo**o ni mali yake na yeye ndio muhusika wa kuliona sasa kwa nini na wengine walione.
Kama ni kweli umemuonea Mkolomije wa watu sababu siku zote mtu chake bana labda kama we cha wote.
Weka picha na sisi tuone kama kweli ni mkolomije au vp
Ukiona hvyo ujue haijaandikwa awe mmeo na wewe uwe mkewe,kisicho riziki hakiliki dadangu,cc tunapanga lkn Mwenyezi Mungu aliishapangaAmeokolewa ama ndiyo amekosa mke na maji ya moto? Kwasabb tu ya ushamba wake kustuka vitu vidogo.
weka pichaHee! Jamani!
Ni hivi nilikuwa na bae wangu ambaye kuanzia leo namuita mshamba, tulipendana na kuahidi kuoana. Tulikuwa tunaenda vizuri tu.
Sasa jana nilibadilisha profile picture kwenye WhatsApp kwa raha zangu tu. Nilipiga picha nikiwa nimevaa blauze fulani hivi maarufu sana huku uswazi ( zinaitwa "usinimaindi") zinashika bega moja tu bega jingine hakuna mshikio. Na kwa wadada zinaliacha chuchu (ziwa) likiwa wazi.
Sasa mm nilipiga picha nikiwa nimevaa hiyo blauzi huku ziwa (nyonyo) langu moja la kushoto likwa upande ambao usinimaindi haijafunika. Kwahiyo likawa wazi. Basi picha hiyo nikaiweka kama DP kwenye WhatsApp.
Mshamba huyu aliyeletwa mjini na TCU baada ya kumchagulia chuo akaanza kunigombeza. Nikamshangaa sana. Nimekosea nn? Yaani mm kuweka picha yenye kuonyesha jinsi nilivyotokelezea iwe ishu!!? Hiyo ndiyo fahari yangu, na ndiyo tambo zangu. Mwanamke shurti aringe ajionyeshe na atambe.
Ndiyo! Mwanamke sura, tabia atafundishwa na mumewe.
Basi niliamua kumblock na kum-blacklist kabisa.
Ameniharibia siku kabisa mshamba huyu. Nimemwambia sepa wajanja wasio stuka na mambo ya mjini watakuja.
Ni hayo tu.
Sio kweli,hebu njoo kwa mkolomije mie halafu ndo utapima niko hovyo au laaa,the free stress zoneWakolomije hovyo sana.
Lame...ushauri wa bure...kama huna kitu productive cha kuandika its beta usome comments za watu nakuchangia kulko kuja kutudanganya na kutafta umaarufu humu..wazo tuHee! Jamani!
Ni hivi nilikuwa na bae wangu ambaye kuanzia leo namuita mshamba, tulipendana na kuahidi kuoana. Tulikuwa tunaenda vizuri tu.
Sasa jana nilibadilisha profile picture kwenye WhatsApp kwa raha zangu tu. Nilipiga picha nikiwa nimevaa blauze fulani hivi maarufu sana huku uswazi ( zinaitwa "usinimaindi") zinashika bega moja tu bega jingine hakuna mshikio. Na kwa wadada zinaliacha chuchu (ziwa) likiwa wazi.
Sasa mm nilipiga picha nikiwa nimevaa hiyo blauzi huku ziwa (nyonyo) langu moja la kushoto likwa upande ambao usinimaindi haijafunika. Kwahiyo likawa wazi. Basi picha hiyo nikaiweka kama DP kwenye WhatsApp.
Mshamba huyu aliyeletwa mjini na TCU baada ya kumchagulia chuo akaanza kunigombeza. Nikamshangaa sana. Nimekosea nn? Yaani mm kuweka picha yenye kuonyesha jinsi nilivyotokelezea iwe ishu!!? Hiyo ndiyo fahari yangu, na ndiyo tambo zangu. Mwanamke shurti aringe ajionyeshe na atambe.
Ndiyo! Mwanamke sura, tabia atafundishwa na mumewe.
Basi niliamua kumblock na kum-blacklist kabisa.
Ameniharibia siku kabisa mshamba huyu. Nimemwambia sepa wajanja wasio stuka na mambo ya mjini watakuja.
Ni hayo tu.
unaoneshaje matiti nje kama muhadzabe....Hua anabadilikabadilikaKumbe sexless ni demu, nkajua dume .