Nenda Sabaya lakini bila wewe haya yasingewezekana kutokea wilaya ya Hai

Kweli nchi hii ilikuwa imeenda mbio sana yaani alikuwa anatekeleza maagizo toka juu ya kubaka,kupora,kwa kutumia genge lake na mibunduki kweli???utawala uliofitinika aisee!!!!
Alikubaka mara ngapi kalio lako?
 
Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana ccm wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.

Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.
1.Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa. Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa, ukwepaji kodi na ufyatuaji wa fedha bandia. Leo fedha bandia zimeadimika nchini sababu ya wewe Sabaya kukamata mnyororo wote wa wafanyabiashara wa kichaga waliokuwa na mitambo ya kutengeneza pesa bandia.

2. Mbunge na madiwani wa ccm kushinda na kuongoza Halmashauri.
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya ccm na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kuwa gaidi na kupoteza imani kwa wananchi wengi.
Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.
Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.

3. Kurejeshwa kwa aridhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi.
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.

NB. Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.
Wewe utakuwa umepakatwa na sabaya sasa unaumia kukosa MTU wa kukutunza
 
Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana ccm wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.

Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.
1.Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa. Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa, ukwepaji kodi na ufyatuaji wa fedha bandia. Leo fedha bandia zimeadimika nchini sababu ya wewe Sabaya kukamata mnyororo wote wa wafanyabiashara wa kichaga waliokuwa na mitambo ya kutengeneza pesa bandia.

2. Mbunge na madiwani wa ccm kushinda na kuongoza Halmashauri.
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya ccm na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kuwa gaidi na kupoteza imani kwa wananchi wengi.
Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.
Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.

3. Kurejeshwa kwa aridhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi.
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.

NB. Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.
Jamani lazima tujifunze nini maana uongozi na nini kitegemewe kwa kiongozi:

  • Kusimamia mapato ya halmashauri ni wajibu wa kiongozi na hajafanya cha ziada
  • Kupata idadi kubwa ya madiwani hadi kuongoza halmashauri ni sawa, ila uwanja ulikuwa level " a level playing field" kwa vyama vyote? Madiwani wangapi walinunuliwa, ruzuku ilikuwa sawa? Wanainchi hawakutishwa kwamba mkichagua opposition msahau maendeleo?
 
Jamani lazima tujifunze nini maana uongozi na nini kitegemewe kwa kiongozi:

  • Kusimamia mapato ya halmashauri ni wajibu wa kiongozi na hajafanya cha ziada
  • Kupata idadi kubwa ya madiwani hadi kuongoza halmashauri ni sawa, ila uwanja ulikuwa level " a level playing field" kwa vyama vyote? Madiwani wangapi walinunuliwa, ruzuku ilikuwa sawa? Wanainchi hawakutishwa kwamba mkichagua opposition msahau maendeleo?
Hata kuwa gaidi nao ni wajibu wa mhalifu
 
Nimeshasema tena na tena kuna hukumu nyingine inaenda kutolewa kwa majinuni wakubwa hukumu hii itafanana na ile iliyotangazwa March 17. Mchomoko mwingine mkubwa waja!
Kama ile hukumu iliyompata marehemu Charles Mbowe?
 
Mungu bado anaishi twakuombea sabaya utoke tupo nyuma yako , ya binadam ndo yalivyo hutazama mabovu bila kuangalia wema licha ya ugaid kuna wengine ni wakubwa ktk nchi hii ila wana laana za kutoxha tu kwa mambo maovu walioyafanya .
 
Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana ccm wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.

Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.
1.Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa. Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa, ukwepaji kodi na ufyatuaji wa fedha bandia. Leo fedha bandia zimeadimika nchini sababu ya wewe Sabaya kukamata mnyororo wote wa wafanyabiashara wa kichaga waliokuwa na mitambo ya kutengeneza pesa bandia.

2. Mbunge na madiwani wa ccm kushinda na kuongoza Halmashauri.
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya ccm na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kuwa gaidi na kupoteza imani kwa wananchi wengi.
Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.
Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.

3. Kurejeshwa kwa aridhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi.
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.

NB. Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.
Nakuunga mkono kuwa bila Sabaya hatungepata hayo uliyoorodhesha. sisi watu wa Hai tunaelewa na tunasikitika sana kufungwa kwake. Najua wale wa upande mwingine hapa hai wamefurahi na kunywa sana bia na vipombe vikali. Atatoaka na atakuwa shujaa. Mungu yko nae
 
Nakuunga mkono kuwa bila Sabaya hatungepata hayo uliyoorodhesha. sisi watu wa Hai tunaelewa na tunasikitika sana kufungwa kwake. Najua wale wa upande mwingine hapa hai wamefurahi na kunywa sana bia na vipombe vikali. Atatoaka na atakuwa shujaa. Mungu yko nae
Asante sana mkuu
 
Tena mahakama imemsaidia sana kumfunga
Wangemwacha mtaani watu walivyo na hasira naye, wangemfanya kitu mbaya sana
 
Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana CCM wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.

Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii, Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.

Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.

1. Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa.
Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa, ukwepaji kodi na ufyatuaji wa fedha bandia. Leo fedha bandia zimeadimika nchini sababu ya wewe Sabaya kukamata mnyororo wote wa wafanyabiashara waliokuwa na mitambo ya kutengeneza pesa bandia.

2. Mbunge na madiwani wa CCM kushinda na kuongoza Halmashauri
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya CCM na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kupoteza imani kwa wananchi wengi. Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.

Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.

3. Kurejeshwa kwa ardhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.

NB: Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.
Nani huyu mjinga anamtetea jambazi mkubwa?!!!!! Acheni ushenzi jamani.
 
Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana CCM wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.

Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii, Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.

Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.

1. Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa.
Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa, ukwepaji kodi na ufyatuaji wa fedha bandia. Leo fedha bandia zimeadimika nchini sababu ya wewe Sabaya kukamata mnyororo wote wa wafanyabiashara waliokuwa na mitambo ya kutengeneza pesa bandia.

2. Mbunge na madiwani wa CCM kushinda na kuongoza Halmashauri
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya CCM na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kupoteza imani kwa wananchi wengi. Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.

Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.

3. Kurejeshwa kwa ardhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.

NB: Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.
Mapato yalipo panda Hai kipi kikaongezeka Hai?
 
Back
Top Bottom