SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
.Umeshindwa kukomenti..
Umesikia habari yake huko kisongo watu wanatatua marinda tu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
.Umeshindwa kukomenti..
Umesikia habari yake huko kisongo watu wanatatua marinda tu
Hata mbowe anabakwa
Wewe hapo ulipo kuna nyama ngumu yenye ncha butu imezama maungoni mwako ndiyo maana hutulii.Hata mbowe anabakwa
Ndicho kinamtokea kiongozi wa nyumbu pale upangaWewe hapo ulipo kuna nyama ngumu yenye ncha butu imezama maungoni mwako ndiyo maana hutulii.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kama inauma ichomoe kwanza,shoga mwandamizi weweNdicho kinamtokea kiongozi wa nyumbu pale upanga
Hamna lolote moshi maisha ya kutoa rushwa na ufisadi ndio mumezoea na kurithi toka baba na babu zenu. Munaona uadilifu ndio dhambi kwa hivyo wengi munaona sabaya kupiga vita magendo na ufisadi ni mtu mbaya.Yooote hayo yalifanyika kwa dhuluma na kuumiza watu.Kuwaumiza nafsi na miili yao.
Hayakufanyika ktk namna iliyo HAKI. Acheni kumpamba na kumvika kuwa innocent huyu mtu, tena ukiondoa kufungwa, ana adhabu ingine mbele ya mwenyezi Mungu kwa damu aliyomwaga.
Hivi umeiona ile crip ya yule bibi akimwomba mungwake kisa huyo jambazi? Angalieni ninyi vijana,njaa zisiwaondolee utu na ubinadamu
WEWE naye ni ukoo wa IBILISI, na IBILISI ni BABA yenu.Ni kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana CCM wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii, Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.
Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.
1. Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa.
Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa, ukwepaji kodi na ufyatuaji wa fedha bandia. Leo fedha bandia zimeadimika nchini sababu ya wewe Sabaya kukamata mnyororo wote wa wafanyabiashara waliokuwa na mitambo ya kutengeneza pesa bandia.
2. Mbunge na madiwani wa CCM kushinda na kuongoza Halmashauri
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya CCM na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kupoteza imani kwa wananchi wengi. Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.
Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.
3. Kurejeshwa kwa ardhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.
NB: Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.
MWIZI NA JAMBAZI WACHA AFUNGWE HUYONi kweli chadema na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana CCM wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii, Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.
Bila Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa wilaya ya Hai haya yangeweza kutokea kwenye wilaya hii.
1. Wilaya ya Hai kupanda kwa ukusanyaji mapato kutoka ya mwisho hadi kuwa ya nne kitaifa.
Kabla ya Sabaya wilaya hii ilikuwa imekithiri kwa rushwa, ukwepaji kodi na ufyatuaji wa fedha bandia. Leo fedha bandia zimeadimika nchini sababu ya wewe Sabaya kukamata mnyororo wote wa wafanyabiashara waliokuwa na mitambo ya kutengeneza pesa bandia.
2. Mbunge na madiwani wa CCM kushinda na kuongoza Halmashauri
Wilaya hii ilikuwa ngome ya Chadema kwa miaka mingi na kila aliyejaribu alikiona cha mtema kuni kutoka kwa Mbowe na genge lake.
Lakini kupitia Sabaya sasa jimbo la Hai ni ngome ya CCM na itawachukua miaka mingi Chadema kulirudisha tena hasa baada ya Mbowe kupoteza imani kwa wananchi wengi. Lakini pia Mbowe ametangaza kuachana na siasa za majukwaani.
Kwa kifupi mbunge ,madiwani na wenyeviti mbalimbali wa wilaya ya Hai wanakula kupitia jasho la Sabaya.
3. Kurejeshwa kwa ardhi ya waislamu iliyoporwa kwa miaka mingi
Wilaya ya Hai wamepita wakuu wa wilaya wengi lakini hakuna aliyefanikiwa kumaliza mgogoro huo mpaka Lengai Ole Sabaya alipofika na kumaliza kadhia hiyo.
NB: Sabaya ni mfungwa wa kisiasa na wafungwa wa kisiasa huwa hawamalizi vifungo vyao, hata asipotolewa na rais Samia atakuja rais mwingine atamtoa na kumpa cheo.
Sabaya anatakiwa afie gerezani hakuna namnaYooote hayo yalifanyika kwa dhuluma na kuumiza watu.Kuwaumiza nafsi na miili yao.
Hayakufanyika ktk namna iliyo HAKI. Acheni kumpamba na kumvika kuwa innocent huyu mtu, tena ukiondoa kufungwa, ana adhabu ingine mbele ya mwenyezi Mungu kwa damu aliyomwaga.
Hivi umeiona ile crip ya yule bibi akimwomba mungwake kisa huyo jambazi? Angalieni ninyi vijana,njaa zisiwaondolee utu na ubinadamu
Jangili kabisa lileMWIZI NA JAMBAZI WACHA AFUNGWE HUYO
Lakini anaingia Ikulu kwa heshima zote na mama yenu anasimama mlangoni kumpokea.Mbowe = Osama
Ameshinda kesi zote bila mbeleko ya DppHivi huyu kesi yake ya Arusha hukumu bado ili iwe 60?
Wamalize ili tufungue nyingine ya ubakali ili awe na 90 kisha ya kukata masikio watu hiyo ni 15 na kuleta jumla kuu ya yeye kukaa gerezani miaka 105.
Wakati wa harakati zake ulishiriki Katika nafasi ipi🤔Ameshinda kesi zote bila mbeleko ya Dpp
watu wabaya.....wanakula kiboga siyo ha ha ha
unamwaga upupu JF wakati mwenzio Sabaya ananyea mtondoo pale Jela Karanga, kikubwa hata Sabaya akitoka Jela leo hii hakika cha moto amekipata,ule ubabe wake wote HAUTAKUWEPO tena, naamini hata akiona Kuku njiani atakuwa anapiga magoti na kutoa SHIKAMOO kwa KukuAmeshinda kesi zote bila mbeleko ya Dpp