Albaab
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 1,520
- 2,161
Ni ile sauti ya mngurumo wa radiDesibeli ikoje
Ni ile sauti ya mngurumo wa radiDesibeli ikoje
Ahaa mchana ruksa lakiniNi ile sauti ya mngurumo wa radi
Kumbe unazijuaBarabara ina bar
Ukianzia dagaa dagaa,kona pub,sportslounge,Ibungu,TTG,Perfect etc
Naona itasaidia kutokomeza hizo decibelBomoa bomoa inakuja huko mjomba mita 90 kila upande
Aswaaa decibel ni zaid ya covidNaona itasaidia kutokomeza hizo decibel
Tanroads tumewasikia tarehe ya leo mwezi ujao kutakuwa kweupe hapoKimara Korogwe ni balaa. Watu hatulali usiku, madesibeli ya kutosha
Sahihi Mkuu..ni roho Juu tu kama elimu haipo...unaweza kuta Desibeli ni wewe ndiyo unatafutwa..tuambiwe tujipange... Desibeli ni nani?Hiyo desibeli ndio nini ? mngetumia muda kutuelemisha kuliko kuanza kuasakana tuView attachment 1848328
Soma vizuri Uzi wote au anzia mwishoni basi kupanda Juu...Waweke namba ya wazi ya kuwafikishia malalamiko 24/7
Labda waliongeza baada ya malalamikoAlitaja faini na adhabu ya kupiga kelele na mitetemo kwa kiwango cha juu zaidi ya kinachokubalika kuwa ni faini kuanzia Sh milioni mbili hadi milioni 10 na kifungo cha hadi miezi sita. Aliwataka wananchi wote kutoa ushirikiano kwa kupiga simu ya bure kutoa kero eneo lenye kelele kwa namba 0800110115 au 0800110117 na 0800110116.
jumlisha hawaii afu pale ibungu kuna Bar mpyaDagadagaa hapa kibo. Na samu pub wanazalisha desibeli Mia 400 kuanzia saa mbili usku had sas Tisa usku
Decibel - is a unit used to measure the intensity of a sound.Desibeli ikoje
Haiwezekani yani mlio wa mvua uwe kimya kuliko friji ya Samsung kuna walakini😅😅😅 katika hili bandiko lako wakati mvua ikinyesha hata TV haiskiki vizuri bila kuongeza sauti yake!Mfano wa Decibel Scale Chart
View attachment 1849145
Mlio wa Scania uwe mdogo kuliko wa Hair Dryer? SidhaniMfano wa Decibel Scale Chart
View attachment 1849145