NEMC kufanya msako wa wanaopiga kelele nyakati za usiku kwa kiwango kilichozidi Desibeli 40

Nemc your absolutely right...

But sina uhakika kama mwananchi anayeenda kuchukuliwa hatua anayo elimu juu ya hicho kiwango Cha kelele na namna gani ya kuzipunguza au kuzicontrol hizo kelele.....

Kwa maana hiyo Basi, nemc kabla ya kuanza hiyo kamata kamata wangeanza kwañza kutoa elimu kwa umma .......
 
Alitaja faini na adhabu ya kupiga kelele na mitetemo kwa kiwango cha juu zaidi ya kinachokubalika kuwa ni faini kuanzia Sh milioni mbili hadi milioni 10 na kifungo cha hadi miezi sita. Aliwataka wananchi wote kutoa ushirikiano kwa kupiga simu ya bure kutoa kero eneo lenye kelele kwa namba 0800110115 au 0800110117 na 0800110116.
Labda waliongeza baada ya malalamiko
 
Mfano wa Decibel Scale Chart
20210711_054209.png
 
Back
Top Bottom