Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,859
- 3,919
Inategemeana na hayo matone ya mvua yanafikia katika surface gani. Kama ni bati za kawaida na ndani No Gypsum Ceiling Board mirindimo na mitetemo ya sauti haikwepeke na Sound production yake itakuwa ni beat after beat.Haiwezekani yani mlio wa mvua uwe kimya kuliko friji ya Samsung kuna walakini😅😅😅 katika hili bandiko lako wakati mvua ikinyesha hata TV haiskiki vizuri bila kuongeza sauti yake!
Lakini mvua hiyo hiyo ikifall kwenye surface ya kigae sound production yake itakuwa ndogo ukilinganisha na kwenye bati.
The same na kwenye friji uenda fridge compressor yako ina matatizo au unaipa fridge mzigo mkubwa ukilinganisha na uwezo wa compressor yake hapo unakuwa umeioverload.