Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 718
- 1,643
- Thread starter
- #61
Aliongea kawaida but the way she was talking. It will never get out of my mindMkuu Vipi kuhusu maneno aliyongea yalikuingia au ni style tuu ya uongeaji na sauti basi?
Aliongea kawaida but the way she was talking. It will never get out of my mindMkuu Vipi kuhusu maneno aliyongea yalikuingia au ni style tuu ya uongeaji na sauti basi?
KUmekosa mada za kuleta kwa watu wenye akili?
Kwanini usianzishe group la whatsup la wajingawajinga wenzako ndio muongee huu ujinga huko?
pambaf!
Kuwa makini na majini hasa makanisa kama ya akina-Mwamposa.Kama umetazama kwenye Tv, umesikiliza kwenye redio au umehudhuria ibada ya leo at Arise and Shine utakuwa SHUHUDA wangu katika hili.
Kuna dada anaitwa NEEMA BAKARI anatokea Tanga, alikuwa mmoja kati ya waliosimama madhabahuni kutoa SHUHUDA zao.
Dada anaongea vizuri hatari. Yani anaongea mpaka unasema "yes, huyu ndio mwanamke sasa".
Aisee, yani kwa jinsi dada huyu anavyoongea hahitaji kwenda kwa mganga kumroga Mwanaume. Sauti yake na jinsi anavyo ongea ni uchawi tosha.
Aisee huyu dada angekuwa mke wangu ningempiga marufuku kuongea na watu kwa sababu kusikia anavyoongea ni sawa na kuona nyeti zake.
Her voice would have to be exclusive to me only.
Sokoni ningekuwa naenda mwenyewe ati.
She speak so so beautiful. (And please don't confuse with the like of Wema Sepetu)
U need to hear her speaking cause hakuna maelezo yanayo weza kujitosheleza namna dada huyu anavyoongea.
It is a " VERY STRONG AND POLITE COMMAND"
Hakuna mwanaume alie kamilika anaweza ku resist jinsi dada huyu anavyo ongea.
Naamini Eva wakati ana mshawishi Adam ale Tunda alikuwa anaongea kwa Sauti ya dada huyu. Simply you cannot resist
Ndugu zangu ukisikia Mwanaume kalowea Tanga usimlaumu hata kidogo.
Tanga noma sana jamani
Wanawake wa Tanga mnajua mnajua mnajua.
I love women
" Before creation women were a race of Angels living in the Heaven. When God created Adam and saw that he was lonely he decided to send those Angels from Heaven to come to earth to help us ( men ) live in this realm. Ndio maana Mungu kabla hajampa Adam Hawa alimpa kwanza Eden ambayo ilifanana na MBINGUNI kule wanawake walipo tokea so that Eve will feel at home and never get bored"
This woman one Neema Bakari is a living proof of my theory.
Her voice should be prescribed by doctors for happiness.
Baba Mwamposa Kama unakujaga huku naomba umuajiri huyo dada redioni. She is so talented and blessed Am sure a million of people will be blessed thru her voice , just the way she talks.
This is the day that the Lord has made
Thanks Lord for what I saw today
# Kesho napanda Ratco au Tasheef naenda kuweka kambi Tanga huenda nikakutana na Mwanamke anae ongea Kama huyu.
# don't confuse simaanishi lafudhi ya kitanga. NI the way anavyo ongea. Yani kama ana deka vile Lakini hadeki Yani daaah aisee we Acha TU. Achaaaa
Hizi ndiyo dini za New Age ndani ya New World Order.Kafara tupu,unaweza kuwa kiongozi wa dini watu wamekufa kwenye ibada yako halafu unakimbia? Au ndo alikuwa anawahisha damu kwenye chumba chake cha makafara,upuuzi sana huu kujificha kwenye imani
Tulitegemea kusikia ushuhuda huo lakini tumeambulia sifa za sauti ya mtoa ushuhuda.Sasa si angalau useme ushuhuda wake ulihusu nini ili na wengine wajifunze. Umehemka hata huwezi kuelezea mambo ya msingi....
Kichwa cha chini kikichukua hatamu kichwa cha juu huwa hakina kazi. Sipati picha sauti ya huyu binti ilivyo kwa sababu mpaka mtu mzima kuchanganyikiwa na kuweweseka hivi si mchezoTulitegemea kusikia ushuhuda huo lakini tumeambulia sifa za sauti ya mtoa ushuhuda.
Sasa si angalau useme ushuhuda wake ulihusu nini ili na wengine wajifunze. Umehemka hata huwezi kuelezea mambo ya msingi....
Picha pia huna? Sio picha ya sauti nataka picha ya manziAudio Sina mkuu but Kama Arise and Shine wanarudiaga vipindi sikiliza Maarudio ya Ibada ya Jumanne ya Leo . Ibada ya kwanza
Nakusalimia mpendwa
Wewe ni mtu wa kanda ya ziwa? ( Msukuma)Sio Nyege Kaka Yani Wala sijamtamani. Nimempenda. Nimekuwa excited. Mara ya mwisho kuona mwanamke anaongea hivyo it was in 1994 and she was from Tanga too. I was just so much excited.
Kondo ni watu wa kanda ya ziwa?Wewe ni mtu wa kanda ya ziwa? ( Msukuma)
Sio Sauti ya chumbani. At all at all. Neema Neema Neema!!! Acha tuTatizo si wewe.
Tatizo ni Neema.
Kutokuelewa matumizi ya sauti.
Sauti ya chumbani anaitoa madhabahuni.
Ona sasa alichodababisha.
ALFA FEMALE & BETA FEMALE.
Pitia google soma tabia za haya makundi mawili ya wanawake. Wanawake wa Tanga ni "beta felames" na wengi wanaoleka na ni wazuri kwenye mahusiano. Wanawake wenfgine kweny kundi hili ni Dodoma kondoa hasa wasandawe, Wasafwa, wahehe na wabena wako kundi hili.
Alfa females ndio chanzo cha vurugu na kuvunjika kwa ndoa nyingi sana, I wish kama watu waka wanajua makundi haya mawili ya wanawake. Wanawake wa Kilimanjaro, Wamasai, sehemu flani ya wasukuma, na wanyakyusa wa kyela wako kundi hili. chunguza
Unataka kutuambia kuwa mwamposa atakua keshamlia "denge" na "kubinuka" naye?Kama umetazama kwenye Tv, umesikiliza kwenye redio au umehudhuria ibada ya leo at Arise and Shine utakuwa SHUHUDA wangu katika hili.
Kuna dada anaitwa NEEMA BAKARI anatokea Tanga, alikuwa mmoja kati ya waliosimama madhabahuni kutoa SHUHUDA zao.
Dada anaongea vizuri hatari. Yani anaongea mpaka unasema "yes, huyu ndio mwanamke sasa".
Aisee, yani kwa jinsi dada huyu anavyoongea hahitaji kwenda kwa mganga kumroga Mwanaume. Sauti yake na jinsi anavyo ongea ni uchawi tosha.
Aisee huyu dada angekuwa mke wangu ningempiga marufuku kuongea na watu kwa sababu kusikia anavyoongea ni sawa na kuona nyeti zake.
Her voice would have to be exclusive to me only.
Sokoni ningekuwa naenda mwenyewe ati.
She speak so so beautiful. (And please don't confuse with the like of Wema Sepetu)
U need to hear her speaking cause hakuna maelezo yanayo weza kujitosheleza namna dada huyu anavyoongea.
It is a " VERY STRONG AND POLITE COMMAND"
Hakuna mwanaume alie kamilika anaweza ku resist jinsi dada huyu anavyo ongea.
Naamini Eva wakati ana mshawishi Adam ale Tunda alikuwa anaongea kwa Sauti ya dada huyu. Simply you cannot resist
Ndugu zangu ukisikia Mwanaume kalowea Tanga usimlaumu hata kidogo.
Tanga noma sana jamani
Wanawake wa Tanga mnajua mnajua mnajua.
I love women
" Before creation women were a race of Angels living in the Heaven. When God created Adam and saw that he was lonely he decided to send those Angels from Heaven to come to earth to help us ( men ) live in this realm. Ndio maana Mungu kabla hajampa Adam Hawa alimpa kwanza Eden ambayo ilifanana na MBINGUNI kule wanawake walipo tokea so that Eve will feel at home and never get bored"
This woman one Neema Bakari is a living proof of my theory.
Her voice should be prescribed by doctors for happiness.
Baba Mwamposa Kama unakujaga huku naomba umuajiri huyo dada redioni. She is so talented and blessed Am sure a million of people will be blessed thru her voice , just the way she talks.
This is the day that the Lord has made
Thanks Lord for what I saw today
# Kesho napanda Ratco au Tasheef naenda kuweka kambi Tanga huenda nikakutana na Mwanamke anae ongea Kama huyu.
# don't confuse simaanishi lafudhi ya kitanga. NI the way anavyo ongea. Yani kama ana deka vile Lakini hadeki Yani daaah aisee we Acha TU. Achaaaa