Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Walevi wawili walikuwa wamepakizana kwenye pikipiki usiku.Mara ghafla mbele wakamulikwa na pair moja ya taa zenye mwanga mkali. Yule mlevi aliyekuwa akiendesha pikipiki akasema,"Hawa jamaa mbele yetu watakuwa wanashindanisha spidi za pikipiki zao,ngoja na sisi tupite katikati yao tuwaonyeshe kwamba na sisi tunaweza kwenda kasi".NB[Zile taa walizoziona mbele yao hazikuwa za pikipiki mbili,zilikuwa ni taa mbili za mbele SCANIA 124L]