kesssyelias
JF-Expert Member
- Jul 13, 2017
- 262
- 273
Tanzania....... kazi kweli kweli yaani kila mmoja anakesha kumuibia mwenzake hii kasumba haiwezi kwisha
Tunaomba majina ya shule zilizofyekelewa mbali jamani
Ahsante mkuu,roho yangu imetulia sasaHazina New Hazina Anny Mndumii Fountain Joy kama sijakosea kwa Dar na Huko Kondoa Chemba ni zote na nyamagana ni tatu au nne
Mkuu nilitaka kupita bila kucomment chochote ila mhh hyo signature yako naona ipo kiuchochezi. Vp unataka kufukua makaburiFyekelea mbali mratibu wa elimu kondoa
Fyekelea mbali mratibu wa Elimu ubungo
Fyekelea mbali mratibi wa Elimu Nyamagana
Fyekelea mbali shule zote husika...
Fyekelea mbali wakuu washule zote za serikali....
Naunga mkono hojaFyekelea mbali mratibu wa elimu kondoa
Fyekelea mbali mratibu wa Elimu ubungo
Fyekelea mbali mratibi wa Elimu Nyamagana
Fyekelea mbali shule zote husika...
Fyekelea mbali wakuu washule zote za serikali....
Hekaya ZA AbunuasiSukuma ndani Afisa Elimu Msingi
Sukuma ndani Afusa Elimu Taaluma Msingi,
Sukuma ndaniWaratibu Elimu Kata,
Sukuma ndani Walimu wa Kuu shule za Msingi,
Na wale maadmin wa magroup ya Wosap wanaosambaza pepa sukuma ndani wote!
Wanatafuta sifa tu.Sasa pepa ya darasa 7 hawa wapuuzi wanaiba.
Sio hao tu rafiki shule karibu zote za msingi Tz huwa zinaonesha majibu kwa watoto ila hazibainiki tu hizo safari hii zimekamatwaHizi Shule za Mwanza Alliance na New Alliance hata sishangai kufutiwa matokeo ni kawaida yao hatimae safari hii wameshikwa