josephwaara
JF-Expert Member
- Jun 18, 2016
- 304
- 637
Habari zenu wataalam, nlikuwa napitia past papers za mitihani ya taifa ya kidato cha pili nkaona pepa ya Physics 2017 na 2019 zinafanana, yaan ni km 2017 ilitolewa tu copy na kutolewa 2019.
Sasa najiuliza hivi nini hasa lilikuwa lengo la baraza kurejesha mtihani uliofanyika ndani ya miaka miwili? Je hii ni sahihi kitaaluma?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
View attachment 1530141View attachment 1530143
Sasa najiuliza hivi nini hasa lilikuwa lengo la baraza kurejesha mtihani uliofanyika ndani ya miaka miwili? Je hii ni sahihi kitaaluma?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
View attachment 1530141View attachment 1530143