Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
We kweli kilaza! Ukinunuliwa si unakosa sifa za kuwa diwani Wa chama cha awali? Sasa kwa nini uchaguzi usiitishwe? Binti tuliza akiliUnajichosha bure, kununuliwa sio sababu ya kurudia uchaguzi kasome vizuri Sheria inayosimamia Uchaguzi Mdogo wa Madiwani