Atclkwanza
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 823
- 998
Tofautisha mwenyekiti wa NEC na msajili wa vyama vya siasa, Kaijage na Mtungi different spicie mkuu.Mh, hapo umekosea. Kaijage amefanya madudu mengi kuiangamiza CUF ya Maalim,as if siyo jaji, leo unasema majaji wa zamani ni wazuri, hapana! HAPANA SIYO KAIJAGE NSHOMILE!