Uchaguzi 2020 NEC yakiri haijapokea majina ya CHADEMA Viti Maalum. Hongera CHADEMA kwa msimamo

Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na Wabunge wa Upinzani. Watanzania wameamua kuchagua Wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.

Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.

CHADEMA kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.
Ujumbe wako unakuvua nguo ndugu yangu demokrasia gani maamuzi yanapitishwa kwa wabunge wote kugonga meza hakuna mawazo mbadala, wabunge wote wamepewa dhamana na chama tawala unataka wamkosoe mwenyekiti wao wa chama kumbuka maswala ya escrow, epa Richmond namna wapinzani walivopigania mali hizi za umma.

Bunge sio muhimili huru kabisa hata kufuatilia nikupoteza muda tu madhara yake kunakwenda kapoteza zaidi ya asilimia 45% ya ufadhiri kwenye bajeti yetu kwasababu wa naamini allocation ya hizo pesa sio public based Lakin ww huon kama nitatizo
 
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haijapokea orodha ya majina ya wabunge wa viti maalumu kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Akizungumza na Nipashe jana kwa njia ya simu, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dk. Wilson Mahera, alisema tume bado haijapokea orodha hiyo kama ambavyo imekuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya kijamii.

“Kuna orodha ya majina inayosambaa kwenye mitandao ikionyesha majina ya wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA. Orodha hiyo si ya kweli kwani hadi sasa hatujapokea orodha ya majina ya walioteuliwa kwenye nafasi ya ubunge wa viti maalumu kutoka chama hicho,” alisema.

Mkurugenzi huyo alisema amesikitishwa na taarifa ya Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, iliyodai kuwa orodha ya majina hayo ni ya tume.

“Tume tumesikitishwa sana kusikia Katibu wa CHADEMA, John Mnyika, akidai kuwa orodha ya majina ya wa bunge wa viti maalumu ni ya tume. Imetusikitisha sana kwa kuwa siyo kweli,” aliongeza.

Dk. Mahera alisema aliwasiliana na Mnyika kwa kumpigia simu na kumwandikia barua ya kuulizia orodha ya majina hayo na kumwambia asubiri mpaka atakapoyaleta yeye mwenyewe baada ya utaratibu wa chama kukamilika.

“Mnyika mwenyewe anafahamu kuwa bado hatujapokea majina na alisema atayaleta majina hayo yeye mwenye endapo watakamilisha utaratibu wao, hivyo mpaka sasa hivi, NEC hatujapokea majina kutoka CHADEMA ambayo yamesainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho,” alisema Mahera.

“Bado tunasubiri majina hayo ambayo yametiwa saini na kupigwa muhuri wa Katibu Mkuu wa chama kwa kuwa utaratibu ndio unaelekeza hivyo,” alisisitiza.

Kutokana na kuvuja kwa orodha hiyo, kuna taarifa kwamba Mnyika alimwandikia barua Dk. Mahera, kutaka kupewa ufafanuzi kama tume imeshatangaza na kuwasilisha bungeni majina 19 ya wabunge wa viti maalumu wa chama hicho.

Aidha, tangu kutoka kwa mijana hayo kwenye mitandao, kumekuwa na taharuki juu ya chanzo halisi cha majini hayo, huku wapinzani, wakiwamo CHADEMA, wakiirushia lawama NEC kuwa ndiyo imehusika.

Chanzo cha habari ni Gazeti la Nipashe

Nilikuwa sikubaliani na chadema na hata ACT kwenye suala la kukataa kupeleka wabunge kuapa
sasa naanza kulielewa ; hiki kitendo ni well calculated na very strong kinapeleka ujumbe mbali kuliko kawaida
Naona hata Rais wa Zanzibar anabembeleza ACT wakaaakaape wakachukue kiti cha Makamu Wa Rais na viti vya uwaziri
 
Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na Wabunge wa Upinzani. Watanzania wameamua kuchagua Wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.

Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.

CHADEMA kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.

Watanzania wameamua au JPM kaamua
Hujaona anavowasimanga kuwa bila yeye hawangeingia bungeni
 
Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na Wabunge wa Upinzani. Watanzania wameamua kuchagua Wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.

Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.

CHADEMA kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.
Watanzania au tume
 
“Bado tunasubiri majina hayo ambayo yametiwa saini na kupigwa muhuri wa Katibu Mkuu wa chama kwa kuwa utaratibu ndio unaelekeza hivyo,” Mkurugenzi wa uchaguzi, Wilson Mahera.

Kumbe utaratibu unajulikana.
 
“Bado tunasubiri majina hayo ambayo yametiwa saini na kupigwa muhuri wa Katibu Mkuu wa chama kwa kuwa utaratibu ndio unaelekeza hivyo,” Mkurugenzi wa uchaguzi, Wilson Mahera.

Kumbe utaratibu unajulikana.
Mkuu,

Haijulikani ni lini KM Mnyika aliwasiliana na Mkurugenzi tume Mahera na taarifa kuonekana kwenye mitandao tarehe 12/11/2020 ikidai majina ya wateuliwa yalikuwa bado kupelekwa. Hata hivyo hujaeleza kati ya tarehe 12/11/2020 hadi 24/11/2020 kitu gani kilitokea kuthibitisha upelekaji wa majina tume au mawasiliano ya aina yoyote na Mkurugenzi tume. Inawezekana kati ya tarehe hizo kitendo cha upelekaji majina mlikifanya lakini mkachelea kuweka hadharani kwa sababu mnazozijua ili kuzikana baada ya kusoma upepo wa mihemko ya wanachama na viongozi ambao hawakufurahishwa mapendekezo ya majina hayo..

Hiyo fraud mnayodai kutendeka imeanzia ndani ya chama chenu kwakuwa hamkuwa na muafaka wa nani aende na kwanini na wahusika ni viongozi wanaoaminika na kuheshimika katika maamuzi.

Tangazo la jumla kwa umma kuwataka wabunge 19 viti maalumu wa CDM walioapishwa hivi karibuni bila kuwataja majina yao na bila kutaja waliapa wapi ni upungufu usiotibika na kama watahudhuria huo wito naamini mtakorogana sana siku hiyo na huenda mazonge yatakayojitokeza ni kutuhumiwa wewe kama ndiye Mnyika kushiriki kuwanyanyasa, kuwatweza, na kuwatishia hadharani kabla ya kuwasikiliza, kuwadhalilisha wakati ukijua ni viongozi wenzio.

Hiyo kamati kuu inatimiza qorum kwa wajumbe wangapi wakati miongoni mwa wabunge hao, watano ni wajumbe?

Maamuzi ya busara kwa manufaa ya watu wengi ndio usalama wa chama chenu..........
 
Mkuu,

Haijulikani ni lini KM Mnyika aliwasiliana na Mkurugenzi tume Mahera na taarifa kuonekana kwenye mitandao tarehe 12/11/2020 ikidai majina ya wateuliwa yalikuwa bado kupelekwa. Hata hivyo hujaeleza kati ya tarehe 12/11/2020 hadi 24/11/2020 kitu gani kilitokea kuthibitisha upelekaji wa majina tume au mawasiliano ya aina yoyote na Mkurugenzi tume. Inawezekana kati ya tarehe hizo kitendo cha upelekaji majina mlikifanya lakini mkachelea kuweka hadharani kwa sababu mnazozijua ili kuzikana baada ya kusoma upepo wa mihemko ya wanachama na viongozi ambao hawakufurahishwa mapendekezo ya majina hayo..

Hiyo fraud mnayodai kutendeka imeanzia ndani ya chama chenu kwakuwa hamkuwa na muafaka wa nani aende na kwanini na wahusika ni viongozi wanaoaminika na kuheshimika katika maamuzi.

Tangazo la jumla kwa umma kuwataka wabunge 19 viti maalumu wa CDM walioapishwa hivi karibuni bila kuwataja majina yao na bila kutaja waliapa wapi ni upungufu usiotibika na kama watahudhuria huo wito naamini mtakorogana sana siku hiyo na huenda mazonge yatakayojitokeza ni kutuhumiwa wewe kama ndiye Mnyika kushiriki kuwanyanyasa, kuwatweza, na kuwatishia hadharani kabla ya kuwasikiliza, kuwadhalilisha wakati ukijua ni viongozi wenzio.

Hiyo kamati kuu inatimiza qorum kwa wajumbe wangapi wakati miongoni mwa wabunge hao, watano ni wajumbe?

Maamuzi ya busara kwa manufaa ya watu wengi ndio usalama wa chama chenu..........
Subiri kamati kuu ikae ndipo uje na speculation zako.
 
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haijapokea orodha ya majina ya wabunge wa viti maalumu kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Akizungumza na Nipashe jana kwa njia ya simu, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dk. Wilson Mahera, alisema tume bado haijapokea orodha hiyo kama ambavyo imekuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya kijamii.

“Kuna orodha ya majina inayosambaa kwenye mitandao ikionyesha majina ya wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA. Orodha hiyo si ya kweli kwani hadi sasa hatujapokea orodha ya majina ya walioteuliwa kwenye nafasi ya ubunge wa viti maalumu kutoka chama hicho,” alisema.

Mkurugenzi huyo alisema amesikitishwa na taarifa ya Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, iliyodai kuwa orodha ya majina hayo ni ya tume.

“Tume tumesikitishwa sana kusikia Katibu wa CHADEMA, John Mnyika, akidai kuwa orodha ya majina ya wa bunge wa viti maalumu ni ya tume. Imetusikitisha sana kwa kuwa siyo kweli,” aliongeza.

Dk. Mahera alisema aliwasiliana na Mnyika kwa kumpigia simu na kumwandikia barua ya kuulizia orodha ya majina hayo na kumwambia asubiri mpaka atakapoyaleta yeye mwenyewe baada ya utaratibu wa chama kukamilika.

“Mnyika mwenyewe anafahamu kuwa bado hatujapokea majina na alisema atayaleta majina hayo yeye mwenye endapo watakamilisha utaratibu wao, hivyo mpaka sasa hivi, NEC hatujapokea majina kutoka CHADEMA ambayo yamesainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho,” alisema Mahera.

“Bado tunasubiri majina hayo ambayo yametiwa saini na kupigwa muhuri wa Katibu Mkuu wa chama kwa kuwa utaratibu ndio unaelekeza hivyo,” alisisitiza.

Kutokana na kuvuja kwa orodha hiyo, kuna taarifa kwamba Mnyika alimwandikia barua Dk. Mahera, kutaka kupewa ufafanuzi kama tume imeshatangaza na kuwasilisha bungeni majina 19 ya wabunge wa viti maalumu wa chama hicho.

Aidha, tangu kutoka kwa mijana hayo kwenye mitandao, kumekuwa na taharuki juu ya chanzo halisi cha majini hayo, huku wapinzani, wakiwamo CHADEMA, wakiirushia lawama NEC kuwa ndiyo imehusika.

Chanzo cha habari ni Gazeti la Nipashe
Mungu wabariki wabunge wa viti maalum wa Chadema wakiongozwa na Halima Mdee
 
Back
Top Bottom