Uchaguzi 2020 NEC yakiri haijapokea majina ya CHADEMA Viti Maalum. Hongera CHADEMA kwa msimamo

Hahaha fundi25 Ndio zote tayari

Mwenyekiti JPM Ndioooooo
Vice president SSH Ndioooo
PM KMK Ndioooooo
Spika JN Ndioooooo
Naibu TA Ndioooooo
Tuna watakia kila la kheri kwenye kikao cha chama kinacho endelea hko Dodoma kwenye ukumbi wa Bunge!

Tuna tengemea ndiooooooo nyingi sana na zenye sauti ya juu kabisa ya Gwajima na Babu tale mwajuma wa Muheza yeye hana sauti!
 
Tuna watakia kila la kheri kwenye kikao cha chama kinacho endelea hko Dodoma kwenye ukumbi wa Bunge!
Tuna tengemea ndiooooooo nyingi sana na zenye sauti ya juu kabisa ya Gwajima na Babu tale mwajuma wa Muheza yeye hana sauti!

😂😂😂😂😂😂acha hizo maneno fundi25 mwajuma wa muheza ndio nani🤣🤣🤣🤣

Na imagine ndio ya kaka Gwaj😁😁😁
 
Kama wamegomea viti maalum waachwe.

Kazi ya kuwakilisha wananchi haihitaji kulazimisha wala kulazimishwa

Maendeleo hayana vyama
Chadema waende kwenye battle ground:

Chadema wapeleke hao wabunge. Vita inapiganiwa msituni. Bunge ndio battle ground mwafaka. Isitoshe thamani ya mbunge mmoja wa Chadema ni sawa na wabunge 50 wa CCM!
 
😂😂😂😂😂😂acha hizo maneno fundi25 mwajuma wa muheza ndio nani🤣🤣🤣🤣
Na imagine ndio ya kaka Gwaj😁😁😁
😂😂😂 siule Mwana f.
Duh ndioo ya Gwajima wote watageuka nyuma kumwangalia utakuja kuniambia 😂😂
 
Chadema waende kwenye battle ground:

Chadema wapeleke hao wabunge. Vita inapiganiwa msituni. Bunge ndio battle ground mwafaka. Isitoshe thamani ya mbunge mmoja wa Chadema ni sawa na wabunge 50 wa CCM!
Hiyo battle unayoikomalia ndo wenzako hawaitaki.
 
😂😂😂 siule Mwana f.
Duh ndioo ya Gwajima wote watageuka nyuma kumwangalia utakuja kuniambia 😂😂

Gwaj na Basihaya yake☺☺☺

Bunge la safari hii ni la mpambano wa kuhudumia wananchi, mpambano mkubwa sana utakua kati serikali na hawa wawakilishi wa wananchi. Kama mbunge anaishi dar aanze kutafuta nyumba jimboni.
 
Gwaj na Basihaya yake☺☺☺

Bunge la safari hii ni la mpambano wa kuhudumia wananchi, mpambano mkubwa sana utakua kati serikali na hawa wawakilishi wa wananchi...... Kama mbunge anaishi dar aanze kutafuta nyumba jimboni
Ngoja tuziweke akili zetu huru tuangalie nini kitatokea muda ndio utaamua.
 
Nadhani ni suala la muda tu, kuna chanzo changu kimoja toka Bawacha. Kunaanza kuwa na mpasuko mzuri tu huko. Anyway ngoja tuone mwisho wake.
 
Hujui madhara yake wewe dogo! Pale bungeni kuna kamati tatu zilikuwepo na zilikua na msaada kutoka kwa mabeberu takriban Trillion 2 kwa mwaka! Kamati zile zilitokana na uwepo wa upinzani, leo zimefutika na kwa maana hiyo Trillion 2 imeyeyuka! Usifurahie kila kitu, vingine jaribu ku-digest tu kidogo!!! Binafsi sio mwanasiasa, wala sina chama. Nawapenda wote wenye fikra pevu ambao hawafikirii kwa kutumia tumbo kama wewe! Jaribu kutumia akili zilizopo kichwani, it will sound good.
Una Pyua maind broo
 
Ni jambo jema, Ile orodha iliandaliwa Ufipa ili kutest zali.

CHADEMA sasa pelekeni ile orodha ya mzee Mgaya ya Wabunge waliofeli majimboni akina Mdee, Mwakagenda, Peneza, Bulaya Matiko Ruge, Pareso, Kiwanga nk nk!

Siasa siyo Uadui

Maendeleo hayana vyama!
Kama sio uadui kwa nini wengine wako magerza kosa lao si limetengenezwa na siasa na wale wanaopigwa bunduki nao Ni halali kwao kisasa!👆
 
Nadhani ni suala la muda tu,kuna chanzo changu kimoja toka Bawacha. Kunaanza kuwa na mpasuko mzuri tu huko. Anyway ngoja tuone mwisho wake
Hakuna mpasuko wowote zilikuwa propaganda za CCM tu, Bulaya na Mdee sio wajinga kiasi hicho, kwenye jimbo la Bulaya hadi leo zaidi ya wafuasi 30 wa Chadema waliompigania bado wako ndani halafu leo akisaliti chama, kwa Mdee ndipo usiulize hata mkono wake aliovunjwa haujapona ndipo ufikirie akisaliti chama.
 
Ni jambo jema, Ile orodha iliandaliwa Ufipa ili kutest zali.

CHADEMA sasa pelekeni ile orodha ya mzee Mgaya ya Wabunge waliofeli majimboni akina Mdee, Mwakagenda, Peneza, Bulaya Matiko Ruge, Pareso, Kiwanga nk nk!

Siasa siyo Uadui

Maendeleo hayana vyama!
Hata kwa vichwa hivyo vinatosha kuwatoa kamasi wazee wa ndio., Bulaya = ccm 50,Halima=ccm 70, Peneza =ccm 40; Matiko=45.
 
Demokrasia IPI hii ya kuingeza namba kwenye karatasi Magufuli 78 lissu 67 inabadilika inakuwa Magufuli 478 lissu 67 hii demokrasi hii.
Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na Wabunge wa Upinzani. Watanzania wameamua kuchagua Wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.

Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.

CHADEMA kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.
 
Habari kamanda wa anga! Nakusalimu Kwa salamu ya chama!

Baada ya salamu Hiyo, niandike machache hapa juu ya hatari iliyopo mbele yetu Sisi kama chama usipochukua hatua haraka Sana juu ya the so called wabunge wa viti maalumu!

1. Tumesikia na kuona pia Kwenye official pages za chama zile za ndani (WhatsApp group za chama) Juu ya majina ya viti maalumu 19, kuwa kamati ndogo ya kamati kuu imependekeza Kati ya hizo nafasi 19, nafasi 16 wamejipa wabunge waliokuwepo Bunge lililopita bila kujali kama waligombea viti maalumu Kwenye mikoa Yao na kushinda au kushindwa, na 3 wamepewa wengine wapya!

Hili ndugu mwenyekiti linaenda kukipasua chama wazi wazi, kwanini walioshinda Kwenye kura za maoni za mikoa Kwenye viti maalumu waenguliwe na nafasi zao kupewa mahawala wa akina salumu mwalimu na viongozi wengine ngazi ya taifa??? THIS TIME TUSIJELAUMIANA HATUTAKUBALI huu upuuzi wa akina salumu mwalimu na mahawala zake!

Sisi kama viongozi wa mikoa na kanda hatutakubali uvunjifu huu wa utaratibu, Aliyeshinda kura ya maoni apewe nafasi yake aliyeshindwa naye apumzike aje ajenge chama kama ambavyo wanachama wengine wanajenga chama Kwa gharama kubwa!

Hili naomba lisiangalie Sura ya MTU au umaarufu wake, kama M/kiti wa BAWACHA Halima mdee aligombea viti maalumu Dar na akashika nafasi ya Kwanza ana-deserve kwenda bungeni ila kama hakugombea au alishindwa Kwenye kura za maoni ATUPISHE, hali kadhalika na Kwa wengine pia wanajiona ni maarufu Kwenye chama kanuni na taratibu zifuatwe, kugombea Jimbo sio kigezo cha kupewa kiti maalumu Hilo lipo na linajulikana Kwenye miongozo yetu.

Huu ubinafsi haukubaliki na hautakubalika anymore, 2015 tulikaa kimya this time patachafuka, tena tunaomba afande muroto wa Dodoma ajuee kabsa kamati kuu mkibariki uvunjifu huu wa utaratibu kupendekeza majina ya viti maalumu Kwa walioshindwa na kwa ambao hawakugombea kabsa viti maalumu Kwenye kura za maoni mikoani, kuwabeba akina Fulani atuachie nafasi tuwashikishe watu Fulani adabu, hili hatutanii! Afande muroto tunakuomba Sana juu hili bakoora zitatembea Sana, kama hamuamini Jaribuni muone, sumu huwa haionjwi tumeshatoa tahadhari!

2. Pia kamanda tunakuomba Sana huyu salumu mwalimu ni kirusi, anavuruga taratibu Kwa maslahi yake binafsi deal naye immediately, ukishindwa usijetulaumu, haiwezekani ajaze mahawala zake bungeni tunamwangalia tuu tena Kwa kuvunja taratibu, wengi wa mahawala zake Kwenye kura za maoni walishindwa!

Ombi Kwa NEC: majina yatakapokuja kwenu plz over plz jiridhishe na regulation kama zimefuatwa, tabia za kuchomeka mahawala na ndugu ambao hata Kwenye mchakato wa kura za maoni hawakupitia haikubaliki!

Nimemaliza samahanini Sana wanajukwaa nimeandika huku hasira imejaa baada hizi habari za kipuuzi za akina Halma na genge la salumu kutaka kuvuruga utaratibu!

Wasalaam.
 
Wameshateua tayari imebaki tu kupeleka tume wanaangalia upepo

vigezo walivyotumia

1.Wabunge wa zamani wamerudishwa wakiongozwa mtoto wa Ndesamburo ambaye kapewa kama asante kwa mchango wa baba yake kilimanjaro
3.Wake wa viongozi na wakurugenzi wa makao makuu ya CHADEMA na baadhi ya viongozi wa kamati kuu
4.Nafasi tatu zimeuzwa kwa shilingi milioni 60 kila moja
 
Back
Top Bottom