Echisute
JF-Expert Member
- Oct 16, 2018
- 496
- 476
Kwa hiyo ile Mln. 20 iliyohakikiwa yote ilikuwa ni CCM? Kima kweli wewe, au mlikuwa mnajitekenya wenyewe kusudi mshinde kwenye mitaa kwa 99%?Oneni haka kajinga jamani!
Nec ilipotoa ratiba ya wanachi kwenda kuboresha taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura hivi ilikuwa ni kwenda kuchungulia kama jina lako lipo?
Alafu unajifanya una akili sana kumbe ujinga tu umekujaa.
Mlihamasishana humu kwamba humuwezi kwenda kupoteza muda wenu. Wana ccm wakahamasishana kwenda kuboresha taarifa zao na ndio hao wamejaa kwenye hilo daftari, sasa nyie mnashangilia Lisu anashinda. Anashinda kwa kupigiwa kura na mawe?