Uchaguzi 2020 NEC: Ni marufuku Wasimamizi wa Uchaguzi kufunga ofisi siku za kurudisha fomu na siku za uteuzi

Tatizo ni kwamba kuna mamlaka yenye sauti zaidi juu ya hao maafisa wa uchaguzi kuliko mwenyekiti wa NEC na ambayo ina maslahi ya moja kwa moja na huu uchaguzi.
 
Shida ipo hapo , naona tatizo kubwa ni nani awajibike kwa nani
DED hawezi wajibika kwa tume ni kujidanganya kwwmba nec inaweza fanya lolote dhidi ya Mamlaka za kiutawala


Uko sahihi kabisa kiongozi kwa 100%.
 
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi amesema ni marufuku kwa Wasimamizi na Maafisa Uchaguzi kufunga ofisi muda wa kazi wakati wa kuchukua na kurejesha fomu kadhalika siku ya uteuzi wa wagombea.

Mwenyekiti wa NEC amesisitiza kuwa ni kinyume cha Sheria wasimamizi kufunga ofisi muda wa kuhudumia wagombea na wadau wa Vyama vya Siasa.

Chanzo: ITV habari!
Ni kawaida ngombe wa chama tawala akisharejesha fomu ni lazima ofisi zianze kufungiwa sababu wanazijua wao. Mchana mwema.
 
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi amesema ni marufuku kwa Wasimamizi na Maafisa Uchaguzi kufunga ofisi muda wa kazi wakati wa kuchukua na kurejesha fomu kadhalika siku ya uteuzi wa wagombea.

Mwenyekiti wa NEC amesisitiza kuwa ni kinyume cha Sheria wasimamizi kufunga ofisi muda wa kuhudumia wagombea na wadau wa Vyama vya Siasa.

Chanzo: ITV habari!
Kumbe wanajua kuwa wagombea wa CCM wakisharudisha tu wasimamizi wanakimbia
 
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi amesema ni marufuku kwa Wasimamizi na Maafisa Uchaguzi kufunga ofisi muda wa kazi wakati wa kuchukua na kurejesha fomu kadhalika siku ya uteuzi wa wagombea.

Mwenyekiti wa NEC amesisitiza kuwa ni kinyume cha Sheria wasimamizi kufunga ofisi muda wa kuhudumia wagombea na wadau wa Vyama vya Siasa.

Chanzo: ITV habari!
Kukuteua nikuteue mimi, mshahara nikupe mimi, gari nikupe mimi na nyumba nikupe mimi halafu wewe unasema wapokee fomu za wapinzani! Wakati nimesema wabaki na Bwege wao!
 
İna maana kama kufunga ofisi wakati wa kuchukua na kulejesha fomu ni kinyume na sheria, NEC wanazungumziaje uchaguzi wa serikali za mtaa ambao wasimamiz walifanya uhuni huo. Watangaze ubatili wa matokeo kama mchakato ulikiuka sheria
 
Tafadhali, elimu haina mwisho, kajifunze kidogo, NEC haisimamii uchaguzi wa serikali za mitaa.
Nimaanisha chaguzi ndogo za ubunge ambako wasimamizi walifunga ofisi au kutopokea fomu za wagombea wa upinzani. Sababubu ya tamko la NEC
 
Back
Top Bottom