johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi amesema ni marufuku kwa Wasimamizi na Maafisa Uchaguzi kufunga ofisi muda wa kazi wakati wa kuchukua na kurejesha fomu kadhalika siku ya uteuzi wa wagombea.
Mwenyekiti wa NEC amesisitiza kuwa ni kinyume cha Sheria wasimamizi kufunga ofisi muda wa kuhudumia wagombea na wadau wa Vyama vya Siasa.
Chanzo: ITV habari!
Mwenyekiti wa NEC amesisitiza kuwa ni kinyume cha Sheria wasimamizi kufunga ofisi muda wa kuhudumia wagombea na wadau wa Vyama vya Siasa.
Chanzo: ITV habari!