agadinho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 582
- 324
hivyo we mzaziba umefilwa? na ni nani kakufila.Msishangae hata kwenye Biblia ipo hiyo:
1 WAKORINTHO
MLANGO 6
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,