Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 314
- 546
Wakuu
Yan kwa tulipofikia kama nchi sasa hivi mtu(mwanaharakati) akikamatwa na polisi maombi yanabaki nyuma kwamba hasiuawe
yn mtu anakamatwa na chombo chenye dhamana ya ulinzi na usalama lakin watu wanapata hofu na mashaka juu ya uhai wake na afya yake kwa ujumla
hili jambo sio zuri kabsa kwa mustakabal wa nchi yetu
hii sio nchi ambayo nyerere na karume waliiota ije kuwa
Yan kwa tulipofikia kama nchi sasa hivi mtu(mwanaharakati) akikamatwa na polisi maombi yanabaki nyuma kwamba hasiuawe
yn mtu anakamatwa na chombo chenye dhamana ya ulinzi na usalama lakin watu wanapata hofu na mashaka juu ya uhai wake na afya yake kwa ujumla
hili jambo sio zuri kabsa kwa mustakabal wa nchi yetu
hii sio nchi ambayo nyerere na karume waliiota ije kuwa