Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,330
- 33,139
Mkuu Dawa ya kurudisha hizo Low Sperm zako kwa hapo nchini Tanzania utahangaika sana sio rahisi kuzipata Dawa ipo nje ya kurudisha Hizo Low Sperm unatumia kwa muda wa miezi 3 na ukimaliza kutumia huo muda wa miezi 3 hizo Sperm zako zitazidi zaidi ya Milioni 8. Ukihitaji hiyo dawa nitafute kwa wakati wako.Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.Ni matumaini yangu muwa wazima wa afya.moja kwa moja naingia kwenye mada.Ilikuwa juzi tuilitoka kumwona dr.kwa mambo ya kupima uzazi ikaja kubainika nina tatizo kubwa la low sperm kiasi cha milioni nane .naombeni msaada wenu kama kuna dawa litakalotibu hili tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahamie kule kanda maalum mkuu!......kule hakuna kiepe yai,atapata vyakula vitakavyomuongezea sperm count!duuh ahamie mkoa gani?
umr wa dr.tuliyemwona hazidi 4oyrs old my wife yuko powa na she is young 31 yrs.mbaya zaidi niliwahi kumpiga mimba kabla hatujafunga ndoaHuyo dr. Muhuni na msengerema kama wangese wengine...
piga chini majibu yake ibuka kwa dr mwingine kwa uchunguzi zaidi...
vipo vitu zaidi ya vitatu vya kujadili na dr kuhusu sperms zako.
kuwa na sperm count 8mil ila zenye mortility rate ya kufa mtu ni zaidi ya kuwa na sperm 30mil zenye mortility rate o na blunt heads.
kwann majibu ayatoe kwa mke na kumwambia asikuambie?
Nisaidie mwonekano wa mkeo na umri wa dr muliyemuona...nahisi dr kamtamani mkeo anataka akuchapie
huyu dr ni kanjanja na mchumia tumbo asiyefuata ethics za kazi yake.HAFAI NA HAIFAI JAMII
kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
nashukuru ndu to be honest cjawahi kunywa pombe wala kuvuta cgara.tatizo hayo majibu hakuniambia mimi kamwita wife chemba kamwambia tena kwa msisitizo acniambie.hapo ndo kuna utata mkubwa sanaTumia dawa kutokana na ushauri wa daktari. Ushauri wangu na utakaokusaidia wakudumu ni kuzingatia chakula Bora. Chakula bora na maji ndio tiba pekee ya gharama nafuu ndani ya miili yetu. Pia punguza mawazo, epuka vilevi km pombe kwani najua kipindi hiki kigumu ulichonacho utakua mtumiaji mzuri ili kupunguza mawazo. Kumbuka madawa yote yakitumika isivyo ni madawa ya kulevya
dr.mzizi mkavu nimekusoma ila mimi ni mtanzania wa hali ya chini i can't afford hizo ziko sanaMkuu Dawa ya kurudisha hizo Low Sperm zako kwa ahapo nchini Tanzania utahangaika sana sio rahisi kuzipata Dawa ipo nje ya kurudisha Hizo Low Sperm unatumia kwa muda wa miezi 3 na ukimaliza kutumia huo muda wa miezi 3 Sperm zako zitakuwa zaidi ya Milioni 8.Ukihitaji hiyo dawa nitafute kwa wakati wako.Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
Huyu akakae tukuyu kule anaamkia maparachichi wk moja tu ameponaAhamie kule kanda maalum mkuu!......kule hakuna kiepe yai,atapata vyakula vitakavyomuongezea sperm count!
Anapaswa ahamie kanda maalum kaka kwa sababu kule hakuna chips kiepe bali kuna vyakula vya kuongeza sperm count tu!!mkuu umekomalia kinoma
nipe ushauri wako wee kama mgeni mgeni wa jijiMkuu una kipaji, yaani kwa unavyomuelezea huyo daktari bado tu unayaamini majibu yake?
Shtuka kabla ajakunyang'anya mke mkuu.
dah kiasi cha hela ulilotaja hapo inaemdana na idadi tatizo lenyewe mzizi mkavuMkuu Dawa ya kurudisha hizo Low Sperm zako kwa ahapo nchini Tanzania utahangaika sana sio rahisi kuzipata Dawa ipo nje ya kurudisha Hizo Low Sperm unatumia kwa muda wa miezi 3 na ukimaliza kutumia huo muda wa miezi 3 Sperm zako zitakuwa zaidi ya Milioni 8.Ukihitaji hiyo dawa nitafute kwa wakati wako.Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
Hahah kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza..Mbona, tunafundishwa mbegumoja tuu inaenda kufanya mtoo na zikienda mbili basi mapacha.
Sasa wewe milioni nanembona nyingi sana ndugu, hiyo si zaidi hata ya idadi ya mayai alonayo mkeo ??
Hebu fikiria mbegu mojainafanya mtoto sasa milioni nane ,,, watoto wangapi hapo. Si watu wote wa Mbeya hao. Au wa Mwanza.
Nina shaka na hii habati,
Kwanza hizo mbegu kazipataje akajuwa ziiko mil 8, kuna kidude cha kuhesabu?
Na jee mili 8 chache inamaana zinatakiwa ngapi ili zitoshe
Standard zinakuwa ngapi ??
Nifafanulie
Ndiyo ndugu, kama watu waliopo dsm wapo milioni tano. Inamaana huyu jamaa kwenye vipumbu vyake ana idadi nzima na nusu ya watu wa dar, halafu anatuambia hawatoshi ........ Sperm moja mtoto mmoja. How come milioni nane iwe haitoshi. Sikubali.Hahah kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza..
Halafu umenifurahisha zaidi baada ya kukosoa huko juu chini umemalizia kusema 'nifafanulie..'
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu dawa ni kuhama Dar!
ahsante kwa ushauri wako nitaufanyia kazi nduguChanganya asali na mdalasini tumia ndani ya mwezi utakuwa na uwezo Wa kumtia mimba mtu
Sent using Jamii Forums mobile app