Ndugu zangu yamenikuta, nina tatizo kubwa la low sperm kiasi cha milioni nane

Mkuu Dawa ya kurudisha hizo Low Sperm zako kwa hapo nchini Tanzania utahangaika sana sio rahisi kuzipata Dawa ipo nje ya kurudisha Hizo Low Sperm unatumia kwa muda wa miezi 3 na ukimaliza kutumia huo muda wa miezi 3 hizo Sperm zako zitazidi zaidi ya Milioni 8. Ukihitaji hiyo dawa nitafute kwa wakati wako.Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
 
umr wa dr.tuliyemwona hazidi 4oyrs old my wife yuko powa na she is young 31 yrs.mbaya zaidi niliwahi kumpiga mimba kabla hatujafunga ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nashukuru ndu to be honest cjawahi kunywa pombe wala kuvuta cgara.tatizo hayo majibu hakuniambia mimi kamwita wife chemba kamwambia tena kwa msisitizo acniambie.hapo ndo kuna utata mkubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dr.mzizi mkavu nimekusoma ila mimi ni mtanzania wa hali ya chini i can't afford hizo ziko sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah kiasi cha hela ulilotaja hapo inaemdana na idadi tatizo lenyewe mzizi mkavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza..

Halafu umenifurahisha zaidi baada ya kukosoa huko juu chini umemalizia kusema 'nifafanulie..'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza..

Halafu umenifurahisha zaidi baada ya kukosoa huko juu chini umemalizia kusema 'nifafanulie..'

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo ndugu, kama watu waliopo dsm wapo milioni tano. Inamaana huyu jamaa kwenye vipumbu vyake ana idadi nzima na nusu ya watu wa dar, halafu anatuambia hawatoshi ........ Sperm moja mtoto mmoja. How come milioni nane iwe haitoshi. Sikubali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…