Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,268
- 33,040
Mkuu Dawa ya kurudisha hizo Low Sperm zako kwa hapo nchini Tanzania utahangaika sana sio rahisi kuzipata Dawa ipo nje ya kurudisha Hizo Low Sperm unatumia kwa muda wa miezi 3 na ukimaliza kutumia huo muda wa miezi 3 hizo Sperm zako zitazidi zaidi ya Milioni 8. Ukihitaji hiyo dawa nitafute kwa wakati wako.Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.Ni matumaini yangu muwa wazima wa afya.moja kwa moja naingia kwenye mada.Ilikuwa juzi tuilitoka kumwona dr.kwa mambo ya kupima uzazi ikaja kubainika nina tatizo kubwa la low sperm kiasi cha milioni nane .naombeni msaada wenu kama kuna dawa litakalotibu hili tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app