tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,315
Boss unaemiliki kampuni na vigari vidogo vidogo kadhaa.
Hapo ile verrosa na harrier yako zilikuwa zimekata kiwese nini???
Kasahau huyo hana kumbukumbu
Boss unaemiliki kampuni na vigari vidogo vidogo kadhaa.
Hapo ile verrosa na harrier yako zilikuwa zimekata kiwese nini???
Kasahau huyo hana kumbukumbu
Safi Mkuu,
Kwema huko?
Akibisha nitamuekea link ya uzi wake nimkumbushe maana maboss huwa niwasahaulifu wanamajukumu mengi, kuendesha kampuni sio mchezo ujue..
Taratibu mbavu hizooo!!!Hahahahahaha!!!!
Nimecheka sana badala yakusikitika...