Ndugu zangu, naombeni msaada kwa hili...

Ndugu zangu, naombeni msaada kwa hili...

Nyie si watu wakiletaga visa vyao humu huwa mnawaambia watafute hela ...? Basi na wewe tafuta hela ila hata ukizipata hizo hela atazitapanya huyo mbulula wako kwa huyo mchungaji wake wa mchongo kifupi wakati unazitafuta hela nenda mbali nae uwe unamtumia pesa ya matumizi tu.
 
Nyie si watu wakiletaga visa vyao humu huwa mnawaambia watafute hela ...? Basi na wewe tafuta hela ila hata ukizipata hizo hela atazitapanya huyo mbulula wako kwa huyo mchungaji wake wa mchongo kifupi wakati unazitafuta hela nenda mbali nae uwe unamtumia pesa ya matumizi tu.
Kataka watu waliochangia vyema respect kwako mkuu,bonge moja la idea master watu kama nyie unahitajika jamii
 
Back
Top Bottom