JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,462
Timu ya Aston Villa imeendelea kuonesha kuwa msimu huu haina utani kwenye Premier League, hiyo ni baada ya kuichapa Arsenal goli 1-0 kwenye Uwanja wa Villa Park.
Matokeo hayo yanaifanya Villa kubaki nafasi ya tatu ikiwa na pointi 35 wakati Arsenala ambayo huo ni mchezo wao wa pili kupoteza msimu huu imebaki nafasi ya pili ikiwa na alama 36, hivyo Liverpool inaongoza ikiwa na pointi 37.
Msimu huu wa 2023/24 katika ligi hiyo, Aston Villa imezifunga timu kubwa kadhaa ikiwemo Chelsea (1-0), Tottenham Hotspur (2-1) na Manchester City (1-0).
Matokeo hayo yanaifanya Villa kubaki nafasi ya tatu ikiwa na pointi 35 wakati Arsenala ambayo huo ni mchezo wao wa pili kupoteza msimu huu imebaki nafasi ya pili ikiwa na alama 36, hivyo Liverpool inaongoza ikiwa na pointi 37.
Msimu huu wa 2023/24 katika ligi hiyo, Aston Villa imezifunga timu kubwa kadhaa ikiwemo Chelsea (1-0), Tottenham Hotspur (2-1) na Manchester City (1-0).