Arsenal yashika usikani wa EPL kwa kuifunga Brighton, leo Desemba 17, 2023

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,462
Arsenal imefanikiwa kuwa namba moja katika Premier League baada ya ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Brighton huku Aston Villa ambayo nayo imekuwa na msimu mzuri ikishika nafasi ya pili kwa kuifunga Brentford magoli 2-1.

Arsenal imefikisha pointi 39, Aston Villa ikiwa na 38, zote zikiwa zimecheza mechi 17.
GBj9Z1CXcAI35Cv (1).jpeg
 
Man U ninyi ni timu kubwa sana. Hata sisi asenali tunatamani kuwa kama nyie. Kwa hiyo leo msituangushe. Pigeni hao liva kama ngoma. La mkishindwa basi wakaazieni droo. Hapo mtaonesha ukubwa wenu. Kila la heri man u jioni hii.
 
Arsenal imefanikiwa kuwa namba moja katika Premier League baada ya ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Brighton huku Aston Villa ambayo nayo imekuwa na msimu mzuri ikishika nafasi ya pili kwa kuifunga Brentford magoli 2-1.

Arsenal imefikisha pointi 39, Aston Villa ikiwa na 38, zote zikiwa zimecheza mechi 17.
Swali;

Asernyau, mwaka gani Arse8 hakuongoza ligi kuu EPL tangu Kocha Wenger astaafu kuifundisha Arsekenge?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom