Kodi halali itakuumizaje mkuu?? Ama ulidanganya mapato yako kwa maafisa wa TRA ili uonekane Billionea
Sasa kufundishwa kukwepa kodi ni somo karibia la miezi 6 au mwaka. Kodi inapigwa kwenye faida yako sasa faida = mauzo - manunuzi, sasa hapo kwenye uwe mjanja kwenye kuongeza vigharama vinavyohusiana na manunuzi ili upunguze net profit. Halafu unaweza kutumia wahasibu wenye mauzoefu yao watakujuza zaidi
Kodi halali itakuumizaje mkuu?? Ama ulidanganya mapato yako kwa maafisa wa TRA ili uonekane Billionea
Mkuu kwa taarifa yako wakwepa kodi ndio wanafanikiwa sana, hiyo halali ndo nataka kuikwepa kabisa...
makampuni yanabilisha majina kukwepa kodi, na mimi nipeni mbinu....
Labda wewe ni wa TRA au huwajui hao TRA. Yaani wanavyofanya assessment ya kodi unaweza ukabwaga mizigo airport. Just unrealistic kabisa. Mali uliyonunua $3,000 watakwambia ina thamani ya $8,000
hahahaha sasa mkuu wao si wanapiga kwa market value. Kama ulinunua Galaxy ya mchina kwa laki 2 wao watakupigia ulinunua kwa price ya OG Galaxy laki 9...
hahahaha sasa mkuu wao si wanapiga kwa market value. Kama ulinunua Galaxy ya mchina kwa laki 2 wao watakupigia ulinunua kwa price ya OG Galaxy laki 9...
Market value walifanya wapi research? Kuchukua MSRP kutoka kwenye kwenye google? Bila kujali "factored in" taxes za kule Marekani iliko google?
Kijana nimejichanga hela kidogo nikaagiza mzigo wa simu na bidhaa zingine kutoka china kupitia shirika la usafirishaji wa DHL,sasa biashara yangu hii naona karibia nafilisika kabisa kutokana na kodi ninazolipa TRA.
Sasa wadau naomba njia yoyote itakayoniwezesha mimi kukwepa kodi au kuniwezesha nipunguze kiasi cha kodi nacholipa.
Nalipa kodi halali ila kiasi ni kikubwa sana kinaniumiza kwa kuzingatia Biashara hii yangu bado ndogo.
Nakaribisha maoni yenu na hata watakaonipa ushauri PM kunisaidia mimi mdogo wenu njia za kuweza kukwepa kodi.
Ahsante na karibuni.
View attachment 205505
Note: mambo ya #escrow pia yananipa machungu. :confused2:
cc: you