we hakuna cha bure ulimwengu huu wa sasa...usanii mwingi. mie nna mail sita za aina hiyohiv hawa watu vip mbona hata tecnic zao hazibadiliki ndo zile zile tu dail!
ndugu yangu nilimwambia haya niliodokezwa humu sasa sijajua kama atayafanya kwa siri au atafuta hizi dokezo nilizoziona humu kwenu grit thinkaz!
Nilimwambia azifowadi hizo e mail zake kwangu naona hajazituma!.
Ngoja nimtafute tena nijue mambo yakoje?
ndugu yangu nilimwambia haya niliodokezwa humu sasa sijajua kama atayafanya kwa siri au atafuta hizi dokezo nilizoziona humu kwenu grit thinkaz!
Nilimwambia azifowadi hizo e mail zake kwangu naona hajazituma!.
Ngoja nimtafute tena nijue mambo yakoje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.