Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
- Thread starter
- #41
<br />akituma hiyo account # jamaa wana uwezo wa kuchota hela huko walipo. muambie ndugu yako aache kupenda dezo jamani, sasa uchumba na kutumiana hela vinahusianaje?isee, nisije nikasema neno baya.
<br />
Hapa ndipo naona miujiza mingine! Wanawezaje kuchukua pesa za akauti ya mtu bila kuijua saini au bila kuwa na card/kitambulisho?
Mbona ac # nyingi za serikali au Ngo's watu mbali mbali hawajaibiwa kwa namna kma hii ? Au kuna mbinu nyingine ziada? Nipe maarifa nimzindue ndugu yangu!