Ndugu yangu umasikini anauaga!

akituma hiyo account # jamaa wana uwezo wa kuchota hela huko walipo. muambie ndugu yako aache kupenda dezo jamani, sasa uchumba na kutumiana hela vinahusianaje?isee, nisije nikasema neno baya.
<br />
<br />
Hapa ndipo naona miujiza mingine! Wanawezaje kuchukua pesa za akauti ya mtu bila kuijua saini au bila kuwa na card/kitambulisho?
Mbona ac # nyingi za serikali au Ngo's watu mbali mbali hawajaibiwa kwa namna kma hii ? Au kuna mbinu nyingine ziada? Nipe maarifa nimzindue ndugu yangu!
 
<br />
<br />
Hapa ndipo naona miujiza mingine! Wanawezaje kuchukua pesa za akauti ya mtu bila kuijua saini au bila kuwa na card/kitambulisho?
Mbona ac # nyingi za serikali au Ngo's watu mbali mbali hawajaibiwa kwa namna kma hii ? Au kuna mbinu nyingine ziada? Nipe maarifa nimzindue ndugu yangu!
Mbona haushangai mtu anawezaje kusoma email zako wakati password ni siri yako? au mwenzetu wewe ukisikia wizi wa kimtandao huwa unadhani computer ndio zinaibiwa? i can't beleive mtu wa kisasa uwe haujui mambo haya. ndio maana kila siku huwa tunacheka tunapoonaga kuna email address ya ikulumawasiliano@yahoo.com.
 
<b>Yaani bado kuna mtu na akili zake timamu anaweza kuingizwa mkenge huu?</b><br />
<table align="center" class="wysiwyg_dashes"><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr"><td class="wysiwyg_dashes_td"> &nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;<table class="wysiwyg_dashes"><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr"><td class="wysiwyg_dashes_td"> <a href="http://www.eastafricantube.com/profile/cynthia1c/" target="_blank"><img src="http://www.eastafricantube.com/avatars/6da5af0a8d53.jpg" border="0" alt="" /></a></td><td class="wysiwyg_dashes_td"> &nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;<a href="http://www.eastafricantube.com/profile/cynthia1c/" target="_blank"><b>cynthia</b></a><br />
Media: <a href="http://www.eastafricantube.com/profile_media/cynthia1c/" target="_blank">0</a><br />
Subscribers: <a href="http://www.eastafricantube.com/profile_subscribers/cynthia1c/" target="_blank">0</a></td></tr></table></td></tr><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr"><td class="wysiwyg_dashes_td">27th November 2010</td></tr><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr"><td class="wysiwyg_dashes_td">Hello [ <a href="http://www.eastafricantube.com/compose_message&amp;msid=81901" target="_blank">Reply</a> ]</td></tr><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr"><td class="wysiwyg_dashes_td">Hi i am Cynthia<br />
<br />
<br />
<br />
How are you? i hope all is well with you, i hope you may not know me, and i don't know who you are, My Name is Miss Cynthia Martines, i am just broswing now i come across your profile it seams like some thing touches me in my spirit that you are the type of person i am looking for, <br />
<br />
<br />
<br />
and l want you to send an email to my email address so l can give you my picture and for you to know whom l am.Here is my email address (cynthiamartines10@yahoo.com)<br />
<br />
<br />
<br />
I believe we can move from here! I am waiting for your mail to my email address above.<br />
<br />
Miss Cynthia Martines (Remeber the distance or colour does not matter but love and concern matters alot in life)<br />
<br />
( cynthiamartines10 at yahoo dot com )<br />
<br />
<br />
<br />
Yours Faithfully<br />
<br />
<br />
<br />
Cynthia</td></tr></table>
<br />
<br />
Kweli hujafa hujaumbika!
Ninamwambia mara nyingi ndugu yangu aniige mie! Nakula kinachotokana na jasho langu! Si kusubiri vya rahisi rahisi vina matatizo yake! Nahisi kama si kumpa huu ushauri wenu alikua aliwe ndugu yangu!
 
Teh teh teh teh! Kweli ng'ombe hawawezi kuisha hata wachinjwe vipi
<br />
<br />
''Nakupenda pia baba'ngu wazazi wangu wamekufa ila wamebakisha mali nyingi''
Haya maneno ndio mtego wa hao ng'ombe ?
 
Kama jamaa yako hana bank overdraft kwenye acc.yake mwambie a test zali hilo manake watakuta acc. tupu and u cant overdraft any ammount....ila kama anaruhusiwa kuoverdraft, itakula kwake manake jamaa watanunua kitu online then mahesabu wanaoverdraft acc. ya jamaa yako. Just saying....
 
Kama jamaa yako hana bank overdraft kwenye acc.yake mwambie a test zali hilo manake watakuta acc. tupu and u cant overdraft any ammount....ila kama anaruhusiwa kuoverdraft, itakula kwake manake jamaa watanunua kitu online then mahesabu wanaoverdraft acc. ya jamaa yako. Just saying....


Maalim Jumar?
mbona unatuangusha?
Hadi sasa umesha-post 1016 topics lkn hauna ujanja ktk masuala ya kwny matandao?
I have more than 5 yrs experience vising these bullshit websites, kuna baadhi ya watu ni wakweli - very, very few of them!
Mi' nina rafiki zangu wawili wa USA hadi sasa tunawasiliana nao kwa masuala ya kawaida kabisa for over 4 year!
Lkn nimekumbana na scammers zaidi ya 1,000 toka nianze kuvisit mawebsite hayo!

Kwa kifupi tu visit:
afrikadating.com
badoo.com

Hizo ni website chache kati ya lukuki zenye vichwa vya ajabu ajabu vingi!
Watchout these countries:
Senegal
Nigeria
Ghana,
Cameroon,
Kwa kifupi WEST AFRICAN COUNTRIES
Kenya.

Tena ukiwa makini unaweza hata ukagundua kwa kuangalia vitu vingi vidigovidogo:
English anayotumia kukuandikia au aliyoandika kwny profile yake
Mahali/ nchi aliyosema anaishi inaweza kuwa tofauti na nchi aliyo-log in. n.k, n.k

Kuna jamaa yangu alitaka kuliwa, akaniambia: "Kuna Sister wa kanisa fulani yuko Nigeria anasema ameona mimi nd'o mtu ambaye naweza kusaidia watoto yatima so atanitumia mamia ya mamilioni ili niweze kuwasaidia watoto, lkn amesema nisimwambie mtu yeyote kwa sababu watu wana wivu wanaweza kuniharibia na pia anaumwa ugonjwa ambao anaweza akafariki muda wowote hivyo nifanye haraka!". Nikamwambia: "Mwanangu utaliwa, sasa yeye si mjanja?! Nenda naye tu taratibu ujifanye **** na ujifanye umezishobokea hizo pesa lkn usimpatie account number yako, password au pin number zako za kadi za benki, email n.k. Baadaye utashangaa anaomba utume pesa kwa kisingizio kuwa ili pesa itoke inabidi either uende ukasaini cheque au mwanasheria wa huko ambaye atamchagua yeye asaini kwa ajili yako. Na kwa sabau huwezi kwenda uta-opt kusainiwa na mwanasheria; ukishasema mwanasheria asaini kwa ajili yako atakuambia inatakiwa pesa kidogo tu hata 100,000, hapo nd'o utaamini ninakuambia nini.". Jamaa aliendelea naye, baadaye si akaombwa pesa kama nilivyomwambia!

Kutokana na maujanja niliyompatia akawambia: "Yaani hapa nilipo sina kitu, ninachoomba ni kwamba unikopeshe nilipie hiyo pesa kwa ajili ya mwanasheria then pesa ikitoka uta-deduct, hata uki-deduct mara 5 ya hiyo inayotakiwa kumlipa mwanasheria sawa tu - mimi ninachotaka ni kusadia hawa watoto na ninashukuru kwa kuniona mimi nd'o ninayefaa kwa hilo. Naomba SANA unifikirie kwa hilo. I expect to hear from you soon". Kwani unafikiri alimjibu tena!

Au labda alikufa kweli kutokana na ugonjwa aliokuwa nao, nd'o maana hakumjibu mshikaji wangu? Tehe, tehe, teheeee - watch out!

Mwingine ukimuomba namba ya simu anasita kwa sababu utastukia code number ya simu.
Wapo wengine waliobobea, huwa wanadanganya wako Ulaya au marekani baadaye anakuambia ataenda kufanya tour West Africa na kukupatia namba ya simu yenye code za West Africa (Senegal, Ghana, Nigeia ......), ujue umeliwa tayari. Na kwa experience niliyonayo inawezekana pia mtu akawa yuko Ulaya, Marekani na akaja West Africa au hata asije West Africa na akawa bado anafanya utapeli huo.
Na wengine wana network, unaweza kukuta akakupatia namba ya mshikaji wake wa Ulaya, Marekani et.c, baadaye unaambiwa anaenda West Africa na anakupatia no. ya simu yenye code number za West Africa, tayari unaendea kuliwa!

Nisiongee sana, niwaachie na wengine! (YAMENIKUTA)
Ukiona kitu kinataka kuja kiurahisi kuliko kawaida - THINK TWICE!
 
Sometime scammers pretend to be recruitment agents for hotels in Canada or oil riggs in middle east. They ask for as little as 10 us dollar for processing your papers.
 
hahahhahahahhahahahhahah....mkuu maalim huyo ndugu yako asijaribu hata kidogo ..hao ni wanaigeria..wanataka atume details za account yake watu wazinyonye..
 
Mbona hao matapeli tu.Kama kweli kampenda mwambia aje kwanza Tz waonane na nduyu yako huyo then uanzaie hapo.Akikataa mwambie atume tiketi ya ndege Dar-Senegal na kama hakituma mwambie atume pesa za kwenda nazo kama USD 2000 kwa West union hapo utaanza kuona kweli ama si kweli.
 
Hao ni wezi kaa nao mbali.Ndio naipenda JF kuna watu waungwana humo hawakawii kukushauri ipasavyo.Muendelee na moyo huo wa kitanzania amabao unawekwa dosari na mafisadi.
 
Ndio maana hua silali hadi niingie JF japo nusu saa nipitie uzi za waungwana! Humu nimejifunza vingi. Huwezi kujiita mjanja ilhali kuna wajanja zaidi yako. Si mimi ni ndugu yangu alikua ameahidiwa hayo mamillion ya $...nikamshauri kua kama mchumba anazo hizo pesa amwite aje huku halafu wafanye hizo taratibu wakiwa pamoja . Nikaona hii nyuzi niingize kwa GT wa JF nipate mawazo yenu!
Mimi kanuni yangu hua sisubiri msaada...au sina ndoto kwenye kupata naamini ninachokifanya ndio kitachoniwezesha! Incase zali likatukia hiyo ni jambo jingine ambalo siwezi kulikalia kimya. Msaada gani unaohusu pesa za kusaidiwa unaambiwa usimwambie mtu? Istoshe hamjuani?
 
hahahhahahahhahahahhahah....mkuu maalim huyo ndugu yako asijaribu hata kidogo ..hao ni wanaigeria..wanataka atume details za account yake watu wazinyonye..
Kwanini hawa wanaijeria ndio wenye hizi sifa za ujanja ujanja zaidi.
-Uchawi wanijeria!
-Wizi wa tecnology wanaijeria
-uhalifu mwingine wanaijeria
-..........................

Wana nini wanaijeria?
 
Kwanini hawa wanaijeria ndio wenye hizi sifa za ujanja ujanja zaidi.
-Uchawi wanijeria!
-Wizi wa tecnology wanaijeria
-uhalifu mwingine wanaijeria
-..........................

Wana nini wanaijeria?
Labda kwa lugha rahisi tuseme Waafrica magharibi, Nigeria, Ghana, Senegal, Ivorycoast, raia wa nchi hizi wanafanana tabia ila Wanigeria wanavuma zaidi kwa sababu wao ndio wapo wengi zaidi ya millioni 100 population ya nchi yao.
 
Labda kwa lugha rahisi tuseme Waafrica magharibi, Nigeria, Ghana, Senegal, Ivorycoast, raia wa nchi hizi wanafanana tabia ila Wanigeria wanavuma zaidi kwa sababu wao ndio wapo wengi zaidi ya millioni 100 population ya nchi yao.
well said Matola
 
Kwanini hawa wanaijeria ndio wenye hizi sifa za ujanja ujanja zaidi.
-Uchawi wanijeria!
-Wizi wa tecnology wanaijeria
-uhalifu mwingine wanaijeria
-..........................

Wana nini wanaijeria?
watu wa west wana program zao zinaitwa marsk ...akiipata acc/no yako ndani ya lisaa limoja anahamisha pesa yako yote na wale wote ambao ushawahi kuwatumia pesa au kukutumia pesa kupitia hiyo account yako....kuwa makini...no free lunch in capitalist economy
 
Asithubutu, hapa nakuoredhea baadhi ya majina yao wanayotumia:
Fortune Melove
Angela James
Give Melove na wengine.
 
watu wa west wana program zao zinaitwa marsk ...akiipata acc/no yako ndani ya lisaa limoja anahamisha pesa yako yote na wale wote ambao ushawahi kuwatumia pesa au kukutumia pesa kupitia hiyo account yako....kuwa makini...no free lunch in capitalist economy
[h=1]Philip Emeagwali[/h] From Wikipedia, the free encyclopedia

Philip Emeagwali


Philip Emeagwali (born in 1954) is a Nigerian -born engineer and computer scientist/geologist who was one of two winners of the 1989 Gordon Bell Prize, a prize from the IEEE, for his use of a Connection Machine supercomputer to help analyze petroleum fields.
[h=2][edit] Biography[/h] Emeagwali was born in Akure, Nigeria on 23 August 1954.[SUP][1][/SUP] His early schooling was suspended in 1967 due to the Nigerian-Biafran war. When he turned fourteen, he served in the Biafran army. After the war he completed a high-school equivalency through self-study. He travelled to the United States to study under a scholarship after taking a correspondence course at the University of London.[SUP][citation needed][/SUP] He received a bachelor's degree in mathematics from Oregon State University in 1977. He worked as a civil engineer at the Bureau of Land Reclamation in Wyoming during this period. He later moved to Washington DC, receiving in 1986 a master's degree from George Washington University in ocean and marine engineering, and a second master's in applied mathematics from the University of Maryland.[SUP][2][/SUP]
[h=2][edit][/h]
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom