Stevery2
JF-Expert Member
- Mar 3, 2012
- 396
- 47
Niaje wadau?naomba ushauri wenu niko kwenye wakat mgumu sana,hapa juzi kati mpenzi wangu nimebain anatoka na mchiz fulani wanapiga nae buku,binti hana time na mimi kama zamani.Kuja kugundua ananicheat imenipain sana,mchezo wote huo aunt yake na dada yake wanajua basi hapa juzi kati dada yake kaomba chance anadai yeye nae aliumizwa mwez wa 5 last year hvyo anaomba nafasi tuwe pamoja koz alikuwa ananipdnda ila akawa anamheshimu mdogo wake.Ila nilikuwa sijasex na MDOGO WAKE yule mpenz wangu,wadau nisaidieni kwa hili,