Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,009
- 2,197
Niaje wakuu
Hiki kisa Cha muda kidogo pia lengo la kuleta mkasa huu ni kuonyesha tu jinsi tukio hili la bila kupangwa lilivyo niletea heshima niliyokuwa navunjiwa
Kwanza mimi kiasili nina aibu kiasi kitu ambacho kilisababisha nisiwe mchangamfu sana kwa wanawake lakini sio kwamba nilikuwa naogopa kutogoza ila tu nilikuwa naona aibu kuonekena natoka na demu flani, mingo zangu zilikuwa zile za chini chini demu tunakutana vichochoroni tunaongea ,kama ni geto Kuna mwanangu ndio alikuwa anajuwa harakati zangu za mademu (nilikuwa natumia geto lake)
Sasa Kuna jamaa kwenye crew yetu alikuwa ananitania sana kwamba sijui kutogoza mara sijui naogopa wanawake ,sasa Kuna demu fulani kwa kipindi kile ananitania alikuwa ndio pisi yake lakini kitu ambacho alikuwa akijui yule demu nilishapita nae kama mara mbili na mara ya mwisho kumla ilikuwa kipindi jamaa anasubiri jibu(alimtongoza) 😃
Yaani ilikuwa hivi huyo dada nilikutana nae mtoni nilienda kufua (si unajua mambo ya kijijini) nikawa na mtania mwisho nikamtongoza baada ya siku tatu nikapewa mzigo, ikapita wiki moja ndio kipindi sasa jamaa yangu akamtongoza huyo manzi ,mimi sikulijua hilo nikaanza kuomba tena mzigo,ila wakati nampanga mwanangu anipe geto ndio akanichana kwamba jamaa yako amemtongoza huyo demu nikamuuliza Lini akasema juzi nikamuuliza saaa mzee mtoto nishampanga kakubali ,jamaa akaniambia we piga mimi nilikuwa nakutaarifu tu nikasema poa na ikawa poa kweli.
Siku ambayo jamaa anajua ilikuwa tupo zetu mpiirani mida ya saa kumi jioni tunafanya mazoezi ikaanza mada ya mademu, basi jamaa kama kawaida yake akaanza kunikandia (alikuwa kwenye utani) ohh jamaa naogopa kutogoza na maneno mengine kibao , sasa Kuna bro pembeni akasema "sema dogo Mambo yake ya chini chini Kuna siku nilimkuta na Salma mtoni(huyo demu)" mwamba akastuka kidogo , baadae alivyo faya upelelezi wake akaja kigundua nimeshamla yule demu tena kwa mazingira alivyo sikia akaona huyu jamaa kanifanyizia kusudi,
Kijiweni kwetu masela wakaniwekea kikao mimi narudi zangu kutoka misele mida ya saa tatu usiku nikashangaa kijiwe kimepoa baada ya mimi kufika 😅 jamaa uvumilivu ukamshinda akaanza kunichana mwanangu wewe snitch nikumuliza nimefanyaje tena,akaanza kuwaka unajifanya hujui umemla demu wangu nikawa najihidi kujitetea lakini ,masela wote walikuwa upande wa huyo jamaa nikaona isiwe kesi maana nilikuwa mazingira ya home nilikala zangu buyu ,na jamaa ndio akaanzaga kuninunia Hapo .
Hili tukio lilinisaidia sana kunipa amani ya moyo ingawa sikufanya makusudi.pia nikaanza kupewa jina la silent killer na nikawa kama nimeprove Ile kauli kwa watu wapole ni Mal*ya sana.....kwa ufupi hili tukio kwa upande wa kutogoza nilipata heshima yangu na jamaa akazidi kunichukia baada ya watu kuunganisha story kwamba ikaonekana kama nimemtongoza kwa sababu jamaa alikuwa ananitania ,urafiki wetu ulikuja kurudi baadae hadi sasa Bado ni mwanangu sana nikipataga time ya kurudi kijiini tunapiga stori fresh tu
Tukio gani ulilolifnya either kwa kulipanga au kwa bahati mbaya likakupa heshima ambayo ulikwa huipati hapo mwanzo?
Hiki kisa Cha muda kidogo pia lengo la kuleta mkasa huu ni kuonyesha tu jinsi tukio hili la bila kupangwa lilivyo niletea heshima niliyokuwa navunjiwa
Kwanza mimi kiasili nina aibu kiasi kitu ambacho kilisababisha nisiwe mchangamfu sana kwa wanawake lakini sio kwamba nilikuwa naogopa kutogoza ila tu nilikuwa naona aibu kuonekena natoka na demu flani, mingo zangu zilikuwa zile za chini chini demu tunakutana vichochoroni tunaongea ,kama ni geto Kuna mwanangu ndio alikuwa anajuwa harakati zangu za mademu (nilikuwa natumia geto lake)
Sasa Kuna jamaa kwenye crew yetu alikuwa ananitania sana kwamba sijui kutogoza mara sijui naogopa wanawake ,sasa Kuna demu fulani kwa kipindi kile ananitania alikuwa ndio pisi yake lakini kitu ambacho alikuwa akijui yule demu nilishapita nae kama mara mbili na mara ya mwisho kumla ilikuwa kipindi jamaa anasubiri jibu(alimtongoza) 😃
Yaani ilikuwa hivi huyo dada nilikutana nae mtoni nilienda kufua (si unajua mambo ya kijijini) nikawa na mtania mwisho nikamtongoza baada ya siku tatu nikapewa mzigo, ikapita wiki moja ndio kipindi sasa jamaa yangu akamtongoza huyo manzi ,mimi sikulijua hilo nikaanza kuomba tena mzigo,ila wakati nampanga mwanangu anipe geto ndio akanichana kwamba jamaa yako amemtongoza huyo demu nikamuuliza Lini akasema juzi nikamuuliza saaa mzee mtoto nishampanga kakubali ,jamaa akaniambia we piga mimi nilikuwa nakutaarifu tu nikasema poa na ikawa poa kweli.
Siku ambayo jamaa anajua ilikuwa tupo zetu mpiirani mida ya saa kumi jioni tunafanya mazoezi ikaanza mada ya mademu, basi jamaa kama kawaida yake akaanza kunikandia (alikuwa kwenye utani) ohh jamaa naogopa kutogoza na maneno mengine kibao , sasa Kuna bro pembeni akasema "sema dogo Mambo yake ya chini chini Kuna siku nilimkuta na Salma mtoni(huyo demu)" mwamba akastuka kidogo , baadae alivyo faya upelelezi wake akaja kigundua nimeshamla yule demu tena kwa mazingira alivyo sikia akaona huyu jamaa kanifanyizia kusudi,
Kijiweni kwetu masela wakaniwekea kikao mimi narudi zangu kutoka misele mida ya saa tatu usiku nikashangaa kijiwe kimepoa baada ya mimi kufika 😅 jamaa uvumilivu ukamshinda akaanza kunichana mwanangu wewe snitch nikumuliza nimefanyaje tena,akaanza kuwaka unajifanya hujui umemla demu wangu nikawa najihidi kujitetea lakini ,masela wote walikuwa upande wa huyo jamaa nikaona isiwe kesi maana nilikuwa mazingira ya home nilikala zangu buyu ,na jamaa ndio akaanzaga kuninunia Hapo .
Hili tukio lilinisaidia sana kunipa amani ya moyo ingawa sikufanya makusudi.pia nikaanza kupewa jina la silent killer na nikawa kama nimeprove Ile kauli kwa watu wapole ni Mal*ya sana.....kwa ufupi hili tukio kwa upande wa kutogoza nilipata heshima yangu na jamaa akazidi kunichukia baada ya watu kuunganisha story kwamba ikaonekana kama nimemtongoza kwa sababu jamaa alikuwa ananitania ,urafiki wetu ulikuja kurudi baadae hadi sasa Bado ni mwanangu sana nikipataga time ya kurudi kijiini tunapiga stori fresh tu
Tukio gani ulilolifnya either kwa kulipanga au kwa bahati mbaya likakupa heshima ambayo ulikwa huipati hapo mwanzo?