Ndugu wakulima ninapata wapi mashine ya kukatia mpunga?!

Ndugu wakulima ninapata wapi mashine ya kukatia mpunga?!

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,928
Reaction score
133,982


Kama mnavyojua mashamba yetu ni ya kienyeji yanahitaji machine all weather badala ya zile kubwa za Kubota kama hiyo hapo juu.

Nipeni connection chap nikimbizane na msimu wa mavuno
 
Tusubiri wadau,umeshaulizia wapi na wapi mkuu?
ninayo KUBOTA DC-60
PXL_20230107_102913388.jpg
PXL_20230107_102857518.jpg
PXL_20230107_103004246.jpg
 
Back
Top Bottom