sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 157
Bia zimeandikwa Haziuzwi kwa Mtu mwenye Umri Chini ya Miaka 18
Kumbi za muziki zimeandikwa hivo hivo. Lakini bado unakuta vitoto vidogo viko bar vinagonga ile mambo alafu ukiingia kumbi za starehe unavikuta pia swali ni
Je Kuna sheria yoyote inayosimamia hili Watu wenye umri chini ya miaka 18 kutokunywa pombe na kuingia kumbi za starehe??
Kumbi za muziki zimeandikwa hivo hivo. Lakini bado unakuta vitoto vidogo viko bar vinagonga ile mambo alafu ukiingia kumbi za starehe unavikuta pia swali ni
Je Kuna sheria yoyote inayosimamia hili Watu wenye umri chini ya miaka 18 kutokunywa pombe na kuingia kumbi za starehe??